Nyota saba washonwa ajali ya Dodoma Jiji

WACHEZAJI saba kati ya 37 waliopata majeraha katika ajali ya gari la timu ya Dodoma Jiji FC bado wanapatiwa matibabu katika hospitali ya Kinyonga kutokana na kuumia kwa kukatwa na vioo wakati gari hilo lilipoanguka kwenye Mto Matandu katika barabara ya Kibiti-Lindi. Akizungumza na Mwanaspoti, Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mohamed Nyundo alisema ajali hiyo…

Read More

Ateba afichua siri ya Che Malone Simba

MSHAMBULIAJI wa Simba, Lionel Ateba amemtaja beki wa timu hiyo, Che Fondoh Malone kama mtu aliyechangia kwa kiasi kikubwa kuzoea haraka maisha ya ndani na nje ya uwanja baada ya kujiunga na klabu hiyo. Ateba amejiunga na Simba katika dirisha kubwa la usajili akitokea USM Alger ambapo hadi sasa ameifungia timu hiyo mabao manane kwenye…

Read More

Kero ya wavuta skanka, bangi kwa wanafunzi shule za Geita

Geita. Baraza la Madiwani Manispaa ya Geita limekerwa na vitendo vya uhalifu vinavyofanywa na vikundi vya vijana wahalifu kujificha eneo lililotengwa kwa ajili ya uwekezaji Kata ya Bombambili kuvuta bangi na skanka na kuhatarisha usalama wa wanafunzi wa shule zilizopo kwenye maeneo hayo. Kutokana na hali hiyo, baraza hilo limeiomba kamati ya ulinzi na usalama Wilaya…

Read More

Chama cha Malema chamcharukia Musk, chaitaja Starlink

Dar es Salaam. Zikiwa zimepita saa chache tangu Mmiliki wa mtandao wa X na Mkurugenzi wa Idara ya Ufanisi wa Serikali ya Marekani, Elon Musk amuite kiongozi wa chama cha EFF cha Afrika kusini, Julius Malema kuwa mhalifu wa kimataifa, chama hicho kimemjibu. Chanzo cha Musk kumuita jina hilo Malema ni mabishano yaliyoendelea katika mtandao…

Read More

Kikokotoo chaibuka tena, wabunge waibana Serikali

Dodoma. Wabunge wanne wa Tanzania wameliamsha tena bungeni wakitaka Serikali iangalie upya kikokotoo cha mafao ya kustaafu kwa kuwa bado kuna malalamiko huku wengine wakisema kiwango cha pensheni cha kila mwezi hakilingani na gharama za maisha.  Kilio cha kikotoo kimekuwa kisikika kwa nyakati tofauti bungeni tangu Julai 1, 2022, Serikali ilivyotangaza matumizi ya kanuni mpya…

Read More

Ukweli kuhusu Watanzania wanaougua kifafa

Dar es Salaam. Matokeo ya sasa ya utafiti yanaonesha kupungua kwa idadi ya wanaoathirika na ugonjwa wa kifafa, kutoka zaidi ya 70 mpaka 20 hadi 15 kwa kila watu 1000. Utafiti huo uliofanywa na Chama cha Wataalamu wa Kifafa Tanzania (TEA) umeonesha pia kupungua kwa waathirika wapya, kutoka zaidi ya 73 hadi kufikia 50 kwa…

Read More