Wanakimanumanu waanza kujipata | Mwanaspoti

KOCHA wa African Sports ‘Wanakimanumanu’, Kessy Abdallah amesema angalau kwa sasa timu hiyo inaendelea kuimarika tofauti na mwanzoni na sababu kuu ni mbili, kuchezea nyumbani na wachezaji kufuata maelekezo yake kwa ufasaha. Timu hiyo imeshinda michezo miwili mfululizo kwa mara ya kwanza msimu huu, tangu mara ya mwisho ilipochapwa mabao 2-0 na Transit Camp Januari…

Read More

Moto wa Clara Luvanga wawatisha Waarabu

MOTO wa straika wa Al Nassr ya Saudi Arabia, Clara Luvanga haupoi na safari hii anawania tuzo ya mchezaji bora wa mwezi mbele ya Waarabu. Tuzo hizo zinatolewa kila mwezi zikiangazia wachezaji watatu wanaofanya vizuri kisha kupigiwa kura na kumjua mshindi wa tuzo hiyo. Clara ni Mtanzania pekee anayeingia katika tuzo hizo dhidi ya Mmoroco,…

Read More

Dk Magoma wa Chadema afariki, Lissu kuongoza mazishi Jumanne

Hanang’.  Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Manyara, Dk Derick Magoma, amefariki dunia leo, Jumapili, Februari 9, 2025, katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam, alipokuwa akipatiwa matibabu. Dk Magoma, enzi za uhai wake, aligombea ubunge wa Hanang’ kwa tiketi ya Chadema katika vipindi viwili, mwaka…

Read More

Mwanasiasa mkongwe Nicodemus Banduka afariki dunia

Moshi. Mwanasiasa mkongwe nchini, Nicodemus Banduka(80) amefariki dunia akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mloganzila iliyopo Jijini Dar es Salaam. Banduka ambaye aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na serikalini, amefariki dunia Ijumaa Februari 7, 2025. Akizungumza na Mwananchi digital leo Jumapili Februari 9, 2025, mmoja wa ndugu wa familia hiyo, Salehe…

Read More

SERIKALI YASHAURIWA KUSIMAMIA WAKANDARASI UJENZI UWANJA WA NDEGE MSALATO, BARABARA ZA MZUNGUKO

Na Janeth Raphae,Dodoma KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeshauri Serikali kusimamia vema Mkandarasi anayejenga uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato jijini Dodoma ili akamilishe ujenzi wa uwanja huo kwa wakati kulingana na muda mkataba. Akizungumza wakati wa ziara ya Kamati hiyo walipotembelea uwanja huo pamoja na ujenzi wa barabara za mzunguko, Mwenyekiti…

Read More

Polisi Tanzania Top 4 inawatosha

KOCHA wa Maafande wa Polisi Tanzania, Mussa Rashid amesema moja ya malengo aliyopewa ni kuhakikisha timu hiyo inamaliza nne bora ‘Top Four’, na wanahitaji sapoti zaidi kutoka kwa mashabiki na viongozi ili kufikia hilo. Akizungumza na Mwanaspoti, Mussa alisema wachezaji wengi waliopo katika kikosi hicho ni wapya na ameanza majukumu yake kwa muda mfupi wakati…

Read More

Madina, Vicky wakwama gofu Sauzi

NYOTA wa Tanzania, Madina Iddi na Vicky Elias wameambulia patupu kwenye mashindano ya gofu ya mashimo 36 ya R&A yaliyofanyika Afrika Kusini, mmoja akimaliza nafasi ya 14 huku mwingine akijitoa. Michuano hii ya siku tatu iliyojumuisha mashimo 54, ilimalizika mwishoni mwa juma katika viwanja vya Leopard Creek, mjini Mpumalanga, Afrika ya kusini na kushirikisha nyota…

Read More

Charles M’Mombwa mdogo mdogo Newcastle

KIUNGO Mtanzania, Charles M’Mombwa anayekipiga Newcastle Jets ya Australia taratibu anaanza kuingia kwenye kikosi hicho kinachoshiriki Ligi Kuu ya nchini humo. Huu ni msimu wake wa kwanza nyota huyo kuichezea Newcastle lakini sio mgeni wa ligi hiyo kwani hapo awali aliichezea Macarthur FC kwa misimu minne kuanzia msimu 2020/24. Ikiwa raundi ya 18 ya ligi,…

Read More