Baba wa Taifa la Namibia, Sam Nujoma afariki dunia

Namibia. Baba wa Taifa la Namibia, Sam Nujoma amefariki dunia jana Jumamosi Februari 8, 2025 akiwa anapatiwa matibabu nchini humo. Taarifa za kifo chake zimetangazwa leo Jumapili, Februari 9, 2025 na Rais wa sasa wa Namibia, Nangolo Mbumba. Sam Nujoma, atakumbukwa kwa kuiongoza Namibia kupata uhuru mwaka 1990 na kuhudumu kama Rais wake wa kwanza…

Read More

KONA YA MAUKI: Chanzo msongo wa mawazo kuwa tatizo la familia nyingi

Katika familia kuna aina za misongo ya mawazo inayosababishwa na wanafamilia wenyewe na mingine inasababishwa na walio nje ya familia. Visababishi vyote hivi huwaathiri wanafamilia kwa namna moja au nyingine. Visababishi vilivyo ndani ya familia hujulikana kama “family stressors”, wakati vile vinavyotoka nje ya familia huitwa “extra family stressors”. Matokeo ya visababishi hivi yaweza kuwa…

Read More

Chanzo msongo wa mawazo kuwa tatizo la familia nyingi

Katika familia kuna aina za misongo ya mawazo inayosababishwa na wanafamilia wenyewe na mingine inasababishwa na walio nje ya familia. Visababishi vyote hivi huwaathiri wanafamilia kwa namna moja au nyingine. Visababishi vilivyo ndani ya familia hujulikana kama “family stressors”, wakati vile vinavyotoka nje ya familia huitwa “extra family stressors”. Matokeo ya visababishi hivi yaweza kuwa…

Read More

Zijue ishara hatari za kimaadili kwa mtoto

Malezi ya mtoto yanahitaji uangalizi wa karibu. Mzazi makini anaweza kutambua mabadiliko madogo yanayoashiria mtoto anaanza kupotoka kimaadili na kuchukua hatua mapema. Hali hii unaweza kuibaini kama utakuwa na mawasiliano mazuri, usimamizi wa karibu na ushirikiano na walezi wengine. Hivyo kama atakuwa anaanza kutumbukia katika nyendo zisizo salama, mzazi unaweza kumsaidia mtoto wako kuepuka njia…

Read More

Walivyopatikana watoto waliotekwa Mwanza | Mwananchi

Mwanza. Wamepatikana. Ndilo neno lenye uzito wa kuelezea taarifa ya Polisi Mkoa wa Mwanza kuhusu kupatikana watoto wawili waliotekwa wakiwa kwenye basi la shule jijini hapa. Magreth Juma (8) anayesoma darasa la tatu na Fortunata Mwakalebela (5) wa darasa la pili katika Shule ya Blessing Modern iliyopo Nyasaka wilayani Ilemela walitekwa Februari 5, 2025, saa…

Read More

Msaidie hivi mtoto kukabiliana na hisia

Sauda (39) ni mama wa Rahma (11) anayesoma darasa la sita. Rahma, pamoja na kuwa na uwezo mkubwa darasani, ana tabia ya kulia bila sababu za msingi. Mara nyingi hushitaki wenzake kwa makosa madogo, ambayo kwa mujibu wa mama yake, angeweza kuyashughulikia bila kulazimika kusema. Mbali na tabia hiyo ya kudeka, Rahma ana shida ya…

Read More

Feitoto kafichua kitu miasisti yake

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amefichua kasi yake ya kutengeneza mabao haitapoa kwani ana malengo makubwa zaidi msimu huu. Fei Toto ambaye tayari amevunja rekodi ya asisti zilizowekwa msimu uliopita na Kipre Junior aliyekuwa akiitumikia Azam kabla ya msimu huu kutimkia MC Alger ya Algeria na alikuwa nazo tisa, amesema kwa…

Read More

Fadlu: Tulieni, ngoma bado mbichi

WANAYANGA hivi sasa wanatamba baada ya kuishusha Simba kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara hali inayoongeza presha ya kubeba ubingwa. Hayo yakijiri, kocha mkuu wa Simba, Fadlu Davids anawavutia kasi huku akisema ngoja waone itakuwaje hadi mwisho kwani hata wao mbio za ubingwa bado zipo katika mafaili yao. Simba ambayo imetoka kupata sare ya…

Read More