Nyuma ya pazia shule 11 kuboronga kidato cha nne

Dar es Salaam. Januari 23, 2024, Baraza la Mitinani la Tanzania (Necta) lilitangaza matokeo ya kidato cha nne yaliyoonyesha shule 110 zilifaulu kwa kupata umahiri wa daraja A. Kati ya shule 5,563 zilizoorodheshwa, zaidi ya nusu (asilimia 55) zilikuwa na umahiri wa daraja D. Hata hivyo, idadi hiyo ni ndogo ikilinganishwa na asilimia 62 za…

Read More

Wanafunzi wapewa ujasiri kufichua vitendo vya ukatili

Siha. Mkuu wa Shule ya Sekondari Ormelili, Hapriday Msomba amewataka wanafunzi wa shule hiyo kutokaa kimya bali wapaze sauti dhidi ya vitendo vya ukatili pale wanapovibaini. Amesema hata wakipatiwa elimu ya kujilinda dhidi ya ukatili wa kijinsia, watoe elimu kwa wenzao ambao hawajabatika kupata elimu hiyo ya kulinda na vitendo hivyo vikiwamo vya ubakaji na…

Read More

Wananchi watakiwa kuzifahamu, kutumia anwani zao za makazi

Dodoma. Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amewataka wananchi kuhakikisha wanazifahamu na kuzitumia anuani zao za makazi, akisisitiza kwamba zinasaidia katika kupata huduma muhimu kama afya na elimu kwa urahisi. Silaa ameitoa kauli hiyo  leo Alhamisi Februari 6, 2025 wakati akifungua maadhimisho ya wiki ya anuani za makazi jijini Dodoma. Silaa amesema…

Read More

Simba yabanwa, Yanga yakaa kileleni

Sare ya bao 1-1 imeifanya Simba kushindwa kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kufikisha pointi 44, moja nyuma ya vinara Yanga yenye 45. Simba imepata sare hiyo dhidi ya Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Manyara. Kipindi cha kwanza cha mchezo huo kilikuwa…

Read More

Sababu TRA kutangaza ajira 1,596

Dar es Salaam. Wakati Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ikitangaza ajira 1,596, wadau wa uchumi na wafanyabiashara wamesema zitasaidia kurahisisha huduma na kuongeza makusanyo ya kodi. Tangazo la nafasi hizo za ajira limetolewa leo Alhamisi Februari 6, 2025 na kusainiwa na Kamishna mkuu wa mamlaka hiyo, Yusuf Mwenda. “TRA inapenda kuajiri watumishi wenye sifa, uwezo…

Read More

Wanawake waoneshwa njia kushika nyadhifa za juu viwandani

Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa, kujiamini, kujitambua na ushirikiano kwa wanawake ni mongoni mwa mambo yatakayochochea kundi hilo kufikia maendeleo mbalimbali ikiwamo ya uongozi mahiri sehemu za kazi hasa katika sekta ya uzalishaji viwandani. Kuhamasisha wanawake kiuongozi, pia ni sehemu ya juhudi za kimataifa  kama vile Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa (SDGs),…

Read More