M23 walianzisha tena DRC, wauteka mji wa Nyabibwe

Goma. Zikiwa zimepita siku mbili tangu waasi wa Kundi la M23 watangaze kusitisha mapigano dhidi ya vikosi vya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kwa kile walichotaja ni kuwepo janga la kibinadamu, waasi hao wameibuka na kuuteka mji wa Nyabibwe ulioko Jimbo la Kivu Kusini nchini humo. Waasi wa M23, wanadaiwa kufadhiliwa na…

Read More

Hii hapa dawa ya upatikanaji wa mafuta Tanzania, Zambia

Dar es Salaam. Bomba la mafuta la Tanzania na Zambia (Tazama) ni miundombinu muhimu ya nishati inayounganisha Bandari ya Dar es Salaam, Tanzania na Ndola, Zambia. Lilijengwa mwaka 1968 kwa ushirikiano wa Serikali za Tanzania na Zambia, ili kusafirisha mafuta ghafi kutoka Tanzania hadi Zambia, kupunguza utegemezi wa Zambia kwa bandari za Afrika Kusini wakati…

Read More

Majina waliochaguliwa kujiunga Idara ya Uhamiaji haya hapa

Dar es Salaam. Idara ya Uhamiaji Tanzania imetangaza majina ya vijana 331 waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya idara hiyo kuanzia Machi 1, 2025. Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo hayo limetolewa leo Alhamisi Februari 6, 2025 na Kamishna Jenerali wa idara hiyo. “Kamishna Jenerali wa Uhamiaji anawatangazia vijana ambao wamechaguliwa kujiunga na Idara ya Uhamiaji kuripoti…

Read More

Mchango wa programu katika usimamizi wa mapato na matumizi

Programu na zana za kifedha zimekuwa msaada mkubwa kwa watu binafsi na familia kusimamia mapato na matumizi yao. Zana hizi hutoa njia rahisi na za kisasa za kufuatilia fedha, kuweka bajeti, na kufanikisha malengo ya kifedha. Kwa matumizi sahihi, zinaweza kusaidia kuboresha usimamizi wa fedha na kuimarisha ustawi wa kifedha. Mathalani, kuweka bajeti na kufuata…

Read More

SHANTA MINING WAAHIDI KUENDELEA KULIPA KODI KWA HIARI

  Uongozi wa Kampuni ya uchimbaji Madini ya Shanta   Mining inayomiliki mgodi wa Singida Gold Mining na New Luika umeahidi kuendelea kulipa Kodi kwa hiari na kuishukuru Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa ushirikiano wanaowapa, hayo yamejili leo tarehe 05.02.2025 walipotembelewa na Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda. Akizungumza wakati wa ziara hiyo…

Read More

Kesi ya Dk Slaa kutajwa leo Mahakama ya Kisutu

Dar es Salaam. Kesi ya kusambaza taarifa za uongo kwenye Mtandao wa X inayomkabili wanasiasa mkongwe nchini, Dk Willibrod Slaa (76) itatajwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Dk Slaa anadaiwa  kutenda kosa hilo chini ya kifungu cha 16 cha Sheria ya Makosa ya Mtandao namba 14 ya mwaka 2015….

Read More

Kufunga saa juu ya mabadiliko ya Sudani Kusini, Baraza la Usalama linasikia – Maswala ya Ulimwenguni

Ilisainiwa mnamo 2018 kumaliza miaka ya migogoro, makubaliano ya amani yaliyorekebishwa, hapo awali yaliweka ratiba ya miaka tatu kwa uchaguzi na malezi ya serikali ya kidemokrasia. Mabadiliko hayo yameongezwa mara nne, na alama muhimu za kisiasa, usalama, na utawala zilizobaki hazijatimizwa. Chini ya nyongeza ya hivi karibuni, iliyotangazwa na viongozi mnamo Septemba mwaka jana, uchaguzi…

Read More

 CCM yaomboleza kifo cha Mtukufu Aga Khan IV

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Kiongozi Mkuu wa 49 wa Madhehebu ya Shia Ismailia na mwanzilishi wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN), Mtukufu Aga Khan IV. Mtukufu Aga Khan amefariki dunia akiwa na miaka 88 Jumanne, Februari 4, 2025 jijiji Lisbon, Ureno akiwa amezungukwa…

Read More

Madenge alivyochomoka kifungo miaka 30 kwa dosari za hukumu

Arusha. Kukosekana kielelezo kuhusu uzito wa bangi na nyaraka za ushahidi kusomwa kwa sauti ya chini kiasi cha mtuhumiwa kushindwa kusikia ni kasoro zilizoifanya Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Dar Es Salaam, kumuachia huru Ally Madenge, aliyekuwa akitumikia kifungo cha miaka 30 jela. Madenge ambaye tayari ametumikia sehemu ya adhabu kwa kukaa jela kwa takriban…

Read More