Simba Queens chupuchupu, JKT Queens ikimpiga mtu 12

Bao la dakika za jioni la Jentrix Shikangwa dhidi ya Ceasiaa Queens kwenye Uwanja wa KMC Complex jana lilitosha kuipa Simba Queens ushindi wa bao 1-0 ambao uliifanya iendelee kutamba kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Wanawake ikifikisha pointi 34. Shikangwa alifunga bao hilo kwa kichwa akiunganisha faulo iliyochongwa na Asha Djafar katika dakika…

Read More

Zidane, Landry wampa mzuka Taoussi

KOCHA wa Azam FC, Rachid Taoussi amevutiwa na viwango vya wachezaji wake wapya, Landry Zouzou na Zidane Sereri waliosajiliwa dirisha dogo la usajili lililofungwa Januari 15, 2025. Taoussi ameonyesha kuridhishwa na uwezo wa wachezaji hao kutokana na kufanya vizuri mazoezini huku shauku yake kubwa ni kuwaona watakachokifanya kwenye michezo ya Ligi Kuu Bara na Kombe…

Read More

Yanga yatua Maniema ikimsaka mbadala wa Aziz KI

MISIMU miwili iliyopita, mashabiki wa Yanga walidhani ni ndoto kuuzwa kwa mshambuliaji Fiston Mayele. Lakini Pyramids wakaweka mzigo mezani mwamba akasepa kiroho safi. Na sasa kituo kinachofuata ni kwa Azizi Ki. Presha ya kumuuza kiungo huyo imeanza kukolea ndani ya Yanga na Mwanaspoti limeambiwa kwamba mezani kuna jina la mbadala wake ambaye limeonyeshwa. Yanga imevuta…

Read More

Siasa zinavyochangia Sheria ya Barabara kuvunjwa-2

Dar es Salaam. Licha ya Sheria ya Barabara kuzuia shughuli zozote za biashara, ikiwemo zinazohusisha moto, kufanyika kwenye hifadhi za barabara, utekelezaji wa katazo hilo unaonekana mgumu nchini hususan jijini Dar es Salaam. Kifungu cha 51 cha Sheria ya Barabara namba 13 ya mwaka 2007 m,bali na kuzuia kuwasha au kuanzisha moto barabarani bila ruhusa…

Read More

Kocha mpya Yanga akwaa kisiki, kanuni hizi zinambana

Mabosi wa Yanga walishtushwa na uamuzi wa ghafla wa kocha Sead Ramovic ambaye aliomba kuvunja mkataba wake kisha jana Jumanne, Februari 4, 2025 akawaaga wachezaji na maofisa wengine wa timu akiwatonya kuwa amepata ofa nono huko Algeria. Baada ya kuzungumza naye walibaini kuwa CR Belouizdad ya Algeria imempa ofa nono ya mshahara zaidi ya mara…

Read More

CCM @48: Safari ya milima na mabonde madarakani

Leo, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimefikisha miaka 48 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977, kikiwa miongozi mwa vyama vichache vya ukombozi vilivyopo madarakani barani Afrika, huku kikipigania kuendelea kubaki madarakani. Februari 5, 1977, vyama vya TANU na Tanganyika na Afro Shiraz (ASP) cha Zanzibar viliungana na kuunda chama kimoja—CCM. Chama hicho ndicho kinaongoza Serikali ya Jamhuri…

Read More

Athari za kiafya maduka ya chini ya ghorofa Kariakoo

Dar es Salaam. Maduka ya chini ya majengo ya ghorofa (underground) yanayozunguka Soko la Kariakoo yanaweza kuleta changamoto mbalimbali za kiafya na kiusalama kwa wauzaji na wateja. Mwananchi imefanya uchunguzi kwenye majengo ya biashara ya ghorofa yanayozunguka eneo la Soko la Kariakoo, baada ya kuanguka jengo la ghorofa kutokana  mmiliki wake kudaiwa kuongeza kuchimba eneo…

Read More

Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia

Mwanza. Kiongozi Mkuu wa 49 wa Madhehebu ya Shia Ismailia na mwanzilishi wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN), Mtukufu Aga Khan, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88. Mtukufu Aga Khan anayefahamika kama Karim Al-Hussaini Aga Khan IV, alifariki dunia jana Jumanne Februari 4, 2025, jijiji Lisbon, Ureno akiwa amezungukwa na familia…

Read More

Simu ya UN ya kufungua tena Uwanja wa Ndege wa Goma 'Lifeline', wakati Mgogoro Unaongezeka – Maswala ya Ulimwenguni

“Uwanja wa ndege wa Goma ni njia ya kuishi“Alisema Bruno Lemarquis. “Bila hiyo, uhamishaji wa waliojeruhiwa vibaya, utoaji wa vifaa vya matibabu na mapokezi ya uimarishaji wa kibinadamu umepooza.” Kuongezeka kwa majeruhi Kundi la Silaha la M23, lililoungwa mkono na askari wa Rwanda, lilichukua uwanja wa ndege wiki iliyopita wakati wapiganaji wake walipitia Goma –…

Read More