Hiki hapa kilichomuondoa Ramovic Yanga

KUNA mshtuko umetokea leo jioni kwenye mazoezi ya mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wakati kikosi hicho kikijiandaa na mchezo wa ligi hiyo utakaochezwa kesho  Jumatano Februari 5, 2025 dhidi ya KenGold utakaochezwa Uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge, Dar es Salaam. Unavyosoma taarifa hii ni kwamba kocha wa Yanga, Sead Ramovic atamalizia mchezo…

Read More

Ramovic ashtua, awaaga rasmi mastaa Yanga

KUNA mshtuko umetokea leo jioni kwenye mazoezi ya mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wakati kikosi hicho kikijiandaa na mchezo wa ligi hiyo utakaochezwa kesho  Jumatano Februari 5, 2025 dhidi ya KenGold utakaochezwa Uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge, Dar es Salaam. Unavyosoma taarifa hii ni kwamba kocha wa Yanga, Sead Ramovic atamalizia mchezo…

Read More

UNRWA inatoa msaada mkubwa katika Gaza, kama uharibifu unavyoongezeka katika Benki ya Magharibi – Maswala ya Ulimwenguni

UnrwaMkurugenzi wa mawasiliano wa Juliette Touma alielezea picha za janga kwenye kambi hiyo, ambapo majengo 100 yalikuwa “yameharibiwa au kuharibiwa sana” na kufutwa kwa wikendi. Wakazi wa kambi hiyo walikuwa “wamevumilia haiwezekani”, alisema, baada ya karibu miezi miwili ya “kukomesha na kuongezeka kwa vurugu” zilizounganishwa na operesheni ya jeshi la Israeli. “Utoaji wa Jumapili ni…

Read More

Mbowe, Wenje wakacha ‘fungate’ ya Chadema, Boni Yai na Sugu wamo

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimehitimisha kikao chake cha kupanga mikakati mbalimbali ikiwamo utekelezaji wa kushinikiza mabadiliko ya mifumo ya uchaguzi kabla ya kuushiriki. Oktoba 2025, Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi wake mkuu wa kuwachagua, madiwani, wabunge na Rais. Kikao hicho cha Retreat ‘fungate’ kilianza Januari 30 hadi leo Jumanne, Februari 4,…

Read More

Kutojua sheria kulivyomkosesha Sh505 milioni za Tanesco

Arusha. Kama sio kutoijua sheria vizuri, pengine Clara Kachewa angepata kifuta machozi cha Sh505 milioni alichokuwa akilidai Shirika la Umeme (Tanesco), baada ya kupigwa shoti ya umeme iliyosababishwa na waya wa umeme ulioangukia kwenye nyumba yao Tabata Dar es Salaam. Ajali hiyo ya umeme imemsababishia Clara Kachewa madhara ya kudumu ya kupoteza kumbukumbu. Kutokana na…

Read More

Mbinu za kuepuka saratani saba za wanawake, wanaume  

Dar es Salaam. Wizara ya Afya nchini Tanzania imetaja aina saba za saratani zinazowasumbua wanaume na wanawake, huku ikiainisha namna ya kuepuka vihatarishi vya ugonjwa huo. Saratani hizo ni mlango wa kizazi ikiathiri wanawake kwa asilimia 26.4, matiti asilimia 12, tezi dume asilimia tisa, koo asilimia 6.7 na utumbo mpana asilimia sita. Takwimu hizo zimetajwa…

Read More

Wawili kortini wakidaiwa kumiliki mijusi 226

Dar es Salaam. Wakazi wawili wa Jiji la Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi mbili tofauti za kumiliki mijusi 226 aina ya Coud Gecko yenye thamani ya Sh13.7 milioni mali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Washtakiwa hao ni mfanyabiashara, Hika Hika (48) maarufu Majoka mkazi wa Mwanagati…

Read More

WAZIRI CHANA ASISITIZA-AJENDA YA KULINDA WANANCHI DHIDI YA WANYAMAPORI WAKALI NI WAJIBU WETU SOTE

  Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amezielekeza halmashauri zote nchini kuchukua jukumu la kulinda wananchi dhidi ya wanyamapori wakali na waharibifu kwa kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii na taasisi zake. Ameyasema hayo leo Februari 4,2025 Bungeni jijini Dodoma alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu swali la Mhe. Mhandisi Ezra…

Read More