Jentrix atavunja rekodi yake Simba Queens?

KIWANGO kinachoonyeshwa na straika wa Simba Queens, Jentrix Shikangwa huenda akavunja rekodi yake ya msimu 2022/23 wa kufunga mabao 17. Hadi sasa ndiye kinara wa mabao akiweka nyavuni mabao 16 huku Stumai Abdallah wa JKT Queens akiwa nayo 11. Ndiye mshambuliaji aliyefunga hat-trick nyingi kwenye michezo 11 akifunga tatu huku Stumai akiweka mbili. Ni kama…

Read More

Makalla: CCM haikubadili gia angani uteuzi wagombea urais

Dar es Salaam. Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amesema chama hicho hakikubadili gia angani kwa kuwateua wagombea urais mapema kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Badala yake, amesema uamuzi wa kuwateua wagombea hao, umechochewa na shinikizo la wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho, baada ya kuridhishwa na…

Read More

Waviu 23,850 wabainika kuwa na VVU hatua ya juu

Dar es Salaam. Jumla ya watu 23,850 wanaoishi na VVU (Waviu) walifika katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini wakiwa katika hatua za juu za ugonjwa wa VVU na Ukimwi katika kipindi cha miezi sita, kuanzia Julai hadi Desemba 2024, takwimu za Wizara ya Afya zinaonyesha. Idadi hiyo ni kati ya watu waliokwenda vituo…

Read More

Askari wawili JWTZ wafariki dunia, wanne wajeruhiwa DRC

Dar es Salaam. Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) limesema askari wake wawili wamefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa wakitekeleza majukumu ya ulinzi wa amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo. Taarifa hiyo imetolewa leo Jumapili Februari 2, 2025 na Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa JWTZ, Kanali Gaudentius Ilonda. “Kufuatia mashambulizi ya mfululizo katika maeneo…

Read More

Madina, Vicky mguu sawa Sauzi

MADINA Idd na Vicky Elias wamedai zoezi ya kuzisoma changamoto za viwanja vya Leopards Creek, Mpumalanga, Afrika Kusini linaendelea vyema kabla ya michuano ya gofu ya wanawake wa Afrika  kuanza rasmi kuesho kutwa katika viwanja hivyo. Madina kutoka klabu ya Arusha Gymkhana na Vicky Elias  kutoka Dar Gymkhana ndiyo Watanzania pekee katika michuano hii inaoshirikiua…

Read More

Tanzania ipo tayari kupindua meza

KUSHINDA mechi ya ufunguzi wa michuano ya ICC League B dhidi ya Italy na tatu nyingine zinazofuata, ndio azma kuu ya timu ya Tanzania katika ligi hii kimataifa inayoanza kuchezwa rasmi ijumaa hii nchini Hong Kong. Ikiwa na matumaini makubwa ya ‘kupindua meza’ nchini Hong Kong, timu ya Tanzania ambayo iliagwa rasmi na mwenyekiti wa…

Read More

Kinda la Tanzania linaitaka Ligi ya Zambia

MSHAMBULIAJI kinda wa Tanzania, Mourice Sichone anayekipiga katika timu ya Trident FC ya Zambia amesema anatamani aisaidie timu hiyo kuipandisha Ligi Kuu msimu huu. Msimu uliopita Trident ilishuka daraja na kushiriki Ligi Daraja la Kwanza baada ya kumaliza mkiani na pointi 26. Kinda huyo (18) alisajiliwa dirisha dogo akitokea Mpulungu Harbour FC ya nchini humo…

Read More

RT kumpiga tafu Geay mbio za nyika Manyara

SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT) imeweka wazi itashirikiana na mwanariadha Gabriel Geay kuhakikisha mashindano ya mbio za nyika aliyoyaanda nyota huyo yanafanyika kwa ubora mkubwa. Geay mwenye rekodi ya Marathoni ya taifa kwa muda wa 2:03:00 aliyoiweka mwaka 2022 kupitia mbio za Valencia Marathon zilizofanyika Hispania ameandaa mbio za Nyika za Km 2, Km 4,…

Read More