Ajali basi la Ester, Rav4 yaua watatu Kilimanjaro

Moshi. Watu watatu wamefariki dunia papo hapo baada ya gari aina ya Toyota Rav4 waliokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na basi la abiria la Kampuni ya Ester Kuxury, mkoani Kilimanjaro leo Jumamosi Februari mosi, 2025. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji mkoani Kilimanjaro, Jeremiah Mkomagi amesema ajali hiyo imetokea eneo la Mdawi,…

Read More

TAKUKURU WAPANDISHA UKUSANYAJI MAPATO KIBITI

Na Khadija Kalili, Michuzi TV TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Pwani imefanikisha kuongeza makusanyo Wilaya ya Kibiti Mkoani Pwani kwa kipindi cha Oktoba hadi Desemba 2024. “Tulifanya uzuiaji katika mfumo wa kukusanyaji wa mapato kwa kutumia POS mashine kwa kuongeza makusanyo kutoka 4,632,682.75 kwa wiki hadi Sh.Mil.12,089,760 ambapo kwa mwaka…

Read More

Huku Championship mambo hayapoi, kinapigwa tena leo

UHONDO wa Ligi ya Championship unaingia mzunguko wa 17, wikiendi hii na baada ya jana kuchezwa michezo mitatu kwenye viwanja tofauti, leo itapigwa mingine mitatu kuwania pointi tatu. Mchezo wa mapema utapigwa saa 8:00 mchana kwenye kituo cha michezo cha TFF Tanga na African Sports iliyoichapa mabao 2-1, Cosmopolitan mechi ya mwisho, itawakaribisha Maafande wa…

Read More

Mastaa Ligi Kuu Bara watuhumiwa kubeti

WAKATI kukiwa na mijadala kuhusu wachezaji wa ligi mbalimbali za soka nchini Tanzania kuhusika katika michezo ya kubashiri (betting) na kupanga matokeo, kuna jambo limeibuliwa Mkoani Mwanza na kuibua mijadala mingi miongoni mwa wadau. Jambo hilo limehusishwa moja kwa moja na baadhi ya mastaa wa klabu kongwe na maarufu jijini Mwanza ya Pamba Jiji ambayo inashiriki…

Read More

Yanga ilivyorudi kwa Fei Toto

DIRISHA la usajili likiwa limeshafungwa katika ligi za Tanzania, maisha ya soka yanaendelea, kwani kiungo nyota wa ushambuliaji pale Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ameendelea kutikisa anga za ndani na nje ya nchi. Kinachoelezwa ni kwamba, mchezaji huyo aliyewahi kukipiga Singida United na Yanga, mambo yanaendelea kwenda kwa kasi sana kuhusiana na maisha yake….

Read More

Msimamo wa bosi kubwa Max kutua Simba

WANASEMA jaMBO likimalizika, basi hufuata  au lilelile huendelea na hivyo kuwafanya watu kuendelea kulifuatilia au kuanza upya kufuatilia linalojitokeza. Hivyo ndivyo ilivyo pia kwa supastaa wa Yanga, Maxi Mpia Nzengeli ambaye pale Jangwani ni kama ameanza kutengeneza ufalme flani ndani ya kikosi cha Jangwani, licha ya kwamba hatajwi sana. Basi ndoto za klabu ya Simba…

Read More

Simba yapishana na mbeleko ya CAF, TFF yahusishwa

NI sahihi kusema Simba imepishana na gari la mshahara baada ya Shirikisho la Soka Afrika (Caf) kupitisha uamuzi wa kuruhusu klabu kuwatumia wachezaji ambao wameshatumikia klabu nyingine kwenye mashindano ya klabu Afrika, uamuzi ambao unaanza msimu huu. Hiyo ni kutokana na Simba kutokuwa na uwezo wa kumsajili mchezaji katika kipindi hiki kutokana na kufungwa kwa…

Read More