Gomez wa Fountain Gate atengewa mamilioni Wydad Casabalanca

WAKATI ikiwa inaendelea kufukuzia saini ya nyota wawili wa Yanga, Clement Mzize na Stephane Aziz KI, klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco imekamilisha dili la kumnasa mshambuliaji wa Fountain Gate, Seleman Mwalim ‘Gomez’ kwa mkataba wa miaka minne wenye thamani ya Sh891 milioni. Gomez anaichezea Fountain Gate kwa mkopo kutoka Singida Black Stars na inaelezwa…

Read More

KKKT KUSHIRIKIANA NA TRA KUTOA ELIMU YA KODI

Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) linatarajia kuanza kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutoa elimu ya Kodi makanisani ili kuongeza idadi ya walipakodi Kodi kwa hiari na kuleta usawa katika ulipaji wa Kodi. Hayo yamebainishwa katika kikao cha pamoja baina ya Askofu Mkuu wa KKKT Dk. Alex Malasusa na Kamishna Mkuu wa…

Read More

Gomez wa Fountain Gate atua Wydad Casabalanca

WAKATI ikiwa inaendelea kufukuzia saini ya nyota wawili wa Yanga, Clement Mzize na Stephane Aziz KI, klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco imekamilisha dili la kumnasa mshambuliaji wa Fountain Gate, Seleman Mwalim ‘Gomez’ kwa mkataba wa miaka minne wenye thamani ya Sh891 milioni. Gomez anaichezea Fountain Gate kwa mkopo kutoka Singida Black Stars na inaelezwa…

Read More

Serikali yasema utapeli wa mitandaoni ni janga

Dodoma. Serikali imesema utapeli kwa njia ya mtandao bado ni tatizo huku ikaelezwa chanzo ni kukua kwa teknolojia. Hoja ya utapeli mtandaoni imebuka bungeni leo na Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson amesema haoni juhudi za kukomesha utapeli huo. Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amesema hayo bungeni leo Januari 31, 2025…

Read More

Samson Mbangula kukosa mecho zote Ligi Kuu

STRAIKA tegemeo wa Tanzania Prisons, Samson Mbangula atakosa mechi zote zilizobaki msimu huu baada ya kufanyiwa upasuaji wa goti, Jumatatu wiki hii, katika Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI), Dar es Salaam. Mchezaji huyo ambaye msimu uliopita aliifunga Simba mabao mawili katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara uliopigwa katika Uwanja wa Jamhuri, Morogoro…

Read More