Tabora United yapewa mwamuzi ‘mtata’ dhidi Simba

Presha ya mchezo wa Tabora United dhidi ya Simba inazidi kupanda mdogondogo na taarifa ya kushtua ni kwamba mchezo huo utaamuliwa na mwamuzi Amina Kyando ambaye hana rekodi nzuri na wenyeji wa mechi hiyo. Kyando ataamua mechi hiyo ya tatu kwenye historia ya Tabora United huku mechi mbili zilizotangulia akikumbana na matukio ya utata yaliyosababisha…

Read More

Meneja wa Mbowe aeleza mitihani ya Lissu Chadema

Dar es Salaam. Siku chache baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), uongozi mpya chini ya Tundu Lissu unakabiliwa na mambo matatu, ikiwemo kuvunja makundi na kukipeleka chama hicho kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Mambo hayo yamebainishwa na Daniel Naftari, aliyekuwa Mratibu wa Kampeni za Freeman Mbowe, aliyekiongoza chama…

Read More

Waandamanaji wachoma balozi za mataifa Kinshasa

Kinshasa. Baadhi ya wananchi wameandamana jijini Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kuchoma moto balozi za mataifa ya Ufaransa, Ubelgiji na Rwanda. Balozi nyingine zilizolengwa na waandamanaji hao leo Jumanne Januari 28, 2025, ni ya Uganda na Kenya. Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Jean-Noel Barrot ameandika kwenye akaunti yake ya…

Read More

GCLA YAPONGEZWA KWA KUSAIDIA UPATIKANAJI WA HAKI

Na Oscar Nkembo Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel, ameipongeza Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa kazi kubwa inayofanya katika upatikanaji wa haki Jinai nchini Tanzania huku akifurahishwa na utekelezaji wa majukumu ya Mamlaka kwa ujumla. Prof. Gabriel ametoa pongezi hizo katika maonesho ya wiki ya Sheria yanayofanyika…

Read More

KAMARI HULETA MATATIZO YA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI

Na Issa Mwadangala Vijana wa Kijiji cha Masoko Kata ya Mlangali Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe wametakiwa kuacha kucheza au kujiingiza katika uchezaji wa kamari ambao kwa asilimia kubwa unapelekea matatizo ya changamoto ya afya ya akili. Kauli hiyo ilitolewa Januari 27, 2025 na Polisi Kata ya Mlangali Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Robart Kasunga…

Read More

Wateja 1,391 wa KCB walipwa amana zao

Dodoma. Bodi ya Bima ya Amana (DIB), imewalipa wateja 1,391 kati ya 2,797 wa Benki ya Wakulima Kagera (KCB), waliokuwa na amana chini ya Sh1.5 milioni. Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Chande amesema hayo leo  Jumanne Januari 28, 2025 wakati akijibu swali la Bernadeta Mshashu aliyehoji lini Serikali itawalipa wateja walioweka fedha zao katika benki…

Read More