Simulizi kijana aliyechomwa moto kwa madai ya wizi

Dar es Salaam. Familia ya Jumanne Ramadhani aliyefariki kwa madai ya kumwagiwa petroli kisha kuchomwa moto kwa tuhuma za wizi simu na fedha, imeiomba Serikali kuwachukulia hatua za kisheria waliohusika na kitendo hicho ikidai ndugu yao hakuwa mwizi. Ramadhan aliyekuwa akiishi Mtaa wa Discover, Kimara Suka Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam anadaiwa kuchomwa…

Read More

RUWASA YATAMBULISHA MRADI WA MAJI WA WANANCHI NYASA

Na Mwandishi Wetu, Nyasa WAKALA wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma, umetambulisha kwa Wananchi mradi wa maji wenye thamani ya zaidi ya Tsh Milioni 962.7 unaokwenda kutekelezwa katika vijiji viwili vya Lumeme na Mbanga ili kutatua kero ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na Salama katika Vijiji…

Read More

Mcolombia afichua jambo Azam | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Azam FC, Franklin Navarro (25), amesema sababu iliyochochea kushindwa kuonyesha makali katika Ligi Kuu Bara akiwa na matajiri hao wa Chamazi ni majeraha ya kifundo cha mguu. Navarro ambaye alikuwa akisumbuliwa na kifundo cha mguu, siku chache zilizopita alitangazwa kujiunga na Union Magdalena ya Colombia baada ya kuachana na Azam FC…

Read More

DC Salekwa ataka miti ipandwe hospitali

Mufindi. Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Dk Linda Salekwa amesisitiza viongozi wa halmashauri kuhakikisha mazingira yanayoizunguka Hospitali ya Mji Mafinga yanaendelea kuboresha kwa kupandwa ukoka, miti na maua sanjari na kuweka maeneo kwa ajili ya kupumzika wagonjwa. Kauli hiyo imetolewa na Dk Salekwa leo Jumanne Januari 18 2025 alipozindua upandaji wa miti katika Halmashauri ya…

Read More

Wazambia kunogesha Makarasha | Mwanaspoti

WAKATI KenGold ikitarajia kufanya tamasha leo, Jumatano kutambulisha wachezaji na benchi la ufundi, kikosi hicho kinatarajia kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Real Nakonde ya Zambia. Tamasha hilo lililopewa jina la Makarasha Day lenye kauli mbiu ya Saga Mwagia linalenga kutengeneza upya timu hiyo ikiwa ni ishara ya kujipanga na michezo ya mzunguko…

Read More

Wanavijiji wachoshwa na maji ya visima

Shinyanga. Wakazi 26,000 wa vijiji vinane vya kata za Masengwa, Samuye na Mwamala Halmashauri ya Shinyanga wanakutana na changamoto ya upatikanaji wa majisafi na salama. Wakizungumza na gazeti hili leo Januari 28, 2025 baadhi ya wakazi wa vijiji vya Ibanda na Mwamala wamesema changamoto ya maji ni kubwa kutokana na kutumia maji ya chumvi. Marco…

Read More