
UCSAF kufanya utafiti kubaini sababu kata 17 kukosa mawasiliano
Chunya. Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mkoa wa Mbeya, Mbarak Batenga amesema timu ya wataalamu kutoka Mfuko wa Fursa ya Maendeleo kwa Wote ( UCSAF), imewasili kwa ajili ya kufanya utafiti wa kina kubaini sababu za kata 17 kati ya 20 kukosa mawasiliano. Timu hiyo iliwasili Januari 27, 2025 ikiwa ni siku kadhaa baada ya…