JAFO AAGIZA RUWASA KUCHIMBA KISIMA CHA MAJI BWAMA

Na Khadija Kalili Michuzi TV WAZIRIwa Viwanda Dkt Selemani Jafo ametoa agizo kwa Mamlaka ya Maji Vijijini Ruwasa kuchimba Kisima kirefu Kata ya Bwama iliyopo Wilayani Kisarawe Mkoani Pwani. Mhe.Dkt.Jafo ambaye pia Mbunge wa Jimbo la Kisarawe ametoa agizo hilo alipofika Bwama kwenye hafla ya kuzindua Zahanati ya Bwama ambayo imekamilika na ameizindua Januari 24 na…

Read More

“Uharaka Mkali wa Sasa” – Kubadilisha Kozi nchini Haiti – Masuala ya Ulimwenguni

Hatima ya Haiti 'ni angavu' licha ya ongezeko la kutisha la vurugu. Credit: UNOCHA/Giles Clarke Maoni na Harvey Dupiton (new york) Jumatatu, Januari 27, 2025 Inter Press Service NEW YORK, Jan 27 (IPS) – Tulipokuwa tukiadhimisha Siku ya Dk. Martin Luther King Jr. Januari 20, 2025—siku ambayo pia iliadhimisha Amerika kumkaribisha rais mpya aliyechaguliwa—tunaheshimu urithi…

Read More

Dk Mwigulu aelezea uhusiano muhimu wa umeme na uchumi

Dar es Salaam. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba, amesema licha ya maendeleo makubwa yaloyofanyika, bado Bara la Afrika linakutana na pengo la kufikia nishati inayohitajika kwa sababu hakuna miundombinu toshelevu. Kukosekana kwa miundombinu hiyo ndiyo kunakochelewesha upatikanaji wa nishati inayohitajika ili kufikia maendeleo endelevu. Amesema hayo leo Jumatatu, Januari 27, 2025, wakati akitoa hotuba…

Read More

Waziri Kombo ajivunia ushirikiano wa China na Tanzania

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amesema mataifa ya Afrika yanapaswa kuuangalia ushirikiano wa China na Tanzania kama mfano wa maendeleo, akibainisha kuwa unatoa taswira ya maono ya pamoja kwa ajili ya mabadiliko, ustawi, na kisasa. Balozi Kombo amesema hayo jana, Januari 26, 2025 wakati…

Read More

Hatua muhimu kwa Afrika kutimiza Ajenda 300

Dar es Salaam. Ngwe ya kwanza ya mkutano wa wakuu wa nchi Afrika kuhusu nishati imekamilika na kuibua matumaini ya kufikiwa kwa lengo tarajiwa, huku Serikali za Afrika zikitwishwa mzigo wa masuala ya kisera zinayopaswa kuyafanyia kazi. Matumaini ya kufikiwa kwa malengo hayo yanatokana na ahadi za fedha kutoka taasisi mbalimbali za kifedha, kuwezesha utekelezaji…

Read More

RADI YAUA WANAFUNZI 7 GEITA

Na Nasra Ismail Geita Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Geita radi imeua wanafunzi saba wa darasa moja katika shule ya sekondari Businda iliyopo wilayani Bukombe mkoani Geita. Mkuu wa wilaya ya Bukombe Paskasi Muragiri amethibitisha kuwepo kwa vifo saba na majeruhi 82 ambao walikutwa na kadhia hiyo wakiwa darasani wakiendelea na masomo. Aidha Muragiri ameongeza…

Read More

RC Macha azishukia shule binafsi kurudisha wanafunzi madarasa

Shinyanga. Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha, amewaonya wamiliki wa shule binafsi kuacha tabia ya kuwarudisha madarasa wanafunzi wanaoshindwa kufikia alama wanazozitaka.  Amesema hawana mamlaka hiyo, bali Serikali ndiyo inayoweza kufanya hivyo kupitia mtihani wa darasa la nne na kidato cha pili. Mkuu huyo wa mkoa (RC), ametoa onyo hilo leo Jumatatu, Januari 27,…

Read More