Morrison, Yondani wampa mzuka kipa KenGold

KIKOSI cha KenGold kinaendelea kujifua kabla ya kuanza ngwe ya lala salama ya Ligi Kuu Bara, huku kipa namba moja wa timu hiyo, Castor Mhagama akisema ujio wa wachezaji wapya waliosajiliwa dirisha dogo akiwamo Bernard Morrison ‘BM’ , Kelvin Yondani na wengine umeongeza mzuka kikosini. Mhagama alisema ujio wa wachezaji hao utasaidia kuinusuru timu hiyo,…

Read More

MASABO AIPONGEZA DCEA KWA KUENDELEA KUELIMISHA JAMII MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma, Mhe. Juliana Masabo, ameipongeza Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya kwa juhudi zake kubwa katika kuelimisha jamii kuhusu madhara ya dawa za kulevya. Akizungumza wakati alipotembelea banda la Mamlaka katika maadhimisho ya Wiki ya Sheria mkoani Dodoma, Mhe. Masabo alisisitiza umuhimu wa kuendelea kuelimisha jamii, hasa wanafunzi,…

Read More

ZPL kazi inaanza upya, Junguni ikipiga mkwara

UHONDO wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) unatarajia kuendelea Januari 31 wakati duru la pili litakapoanza, huku Junguni United ikiipiga mkwara Chipukizi itakayovaana nayo kwenye Uwanja wa Polisi FFU Finya, Pemba. Junguni itavaana na Chipukizi ikiwa ni siku tatu tangu duru hilo kuanza huku Mlandege ikiwa kileleni mwa msimamo ikiwa na pointi 30 baada ya mechi…

Read More

Tanzania Kinara Usambazaji Nishati ya Umeme Vijijini

Na. Mwandishi wetu – Dar es Salaam Tanzania imepongezwa kwa kufikisha nishati ya umeme hadi ngazi ya vijiji hali inayoendelea kuchochea maendeleo na ustawi kwa wananchi vijijini. Hayo yamesemwa na Rais wa Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina wakati wa mkutano wa nishati Afrika leo Januari 27, 2025 jijini Dar es Salaam. Amesema…

Read More

Kigogo Chadema ajipanga kupigania sheria ya wazee

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chadema (Bazecha), Susan Lyimo amesema katika uongozi wake atapigania kutungwa kwa sheria ya wazee ili kulinda maslahi na heshima yao katika jamii. Lyimo amebainisha hayo leo Januari 27, 2027 jijini Dar es Salaam wakati wa mahojiano maalumu na Mwananchi,  zikiwa zimepita wiki mbili tangu alipochaguliwa kuwa…

Read More

Mashirika yatoa ahadi kufadhili nishati Afrika

Dar es Salaam. Wakati Bara la Afrika likielekea katika utekelezaji wa Agenda 300 Africa inayolenga kuwafikia Waafrika milioni 300 kwa umeme, baadhi ya mashirika ya fedha na nishati yameahidi kutoa fedha kufadhili miradi ya ajenda hiyo. Inakadiriwa kuwa zaidi ya watu milioni 600 Afrika hawana uhakika wa kupata nishati ya umeme, hali inayodidimiza maendeleo ya…

Read More

Namna Afrika inavyoweza kutoka gizani

Dar es Salaam. Afrika sio maskini wa idadi ya megawati za umeme, bali ukata unaoyakabili mataifa ya bara hilo ni wa uwezo wa kusafirisha na hatimaye kuwafikishia wananchi nishati hiyo. Msingi wa hoja hiyo ni ukweli kwamba baadhi ya mataifa ya Afrika ama yanazalisha umeme kuzidi mahitaji yao, au yana vyanzo vyenye uwezo wa kuzalisha…

Read More