‘Mfumo mpya wa Tancis iliyoboreshwa mwarobaini changamoto za kiforodha’

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua Mfumo Jumuishi wa Forodha Tanzania (Tancis) ulioboreshwa, ambao unatajwa  kuwa tiba ya matatizo yote ya kiforodha kwenye uondoshaji shehena bandarini, mipakani na  kwenye viwanja vya ndege Mfumo huo ambao umeboreshwa unaziunganisha taasisi 36 ukilenga  kuboresha ufanisi, kuhakikisha usahihi wa data na kupunguza ucheleweshaji wa shughuli za…

Read More

‘Wabunge wajitathmini wamefanya nini miaka mitano’

Dodoma. Mkutano wa 18 wa Bunge la 12 unaanza keshokutwa Jumanne, Januari 28, 2025 huku wachambuzi wa masuala ya siasa na wananchi wakiwashauri wabunge kuutumia muda uliobaki kujifanyia tathmini ya utekelezaji wa majukumu yao kwa miaka mitano. Kuanza kwa mkutano huo kunalifanya Bunge la 12 lililoanza Novemba 2020, kubakiza mikutano miwili kabla ya kumaliza ili…

Read More

Fahamu faida, masharti na hasara za urembo kwenye meno

Shinyanga. Tumezoea kuona baadhi ya watu wakiweka urembo katika meno yao, hata hivyo wengi wao hawajui faida na athari za kuweka urembo huo. Hata hivyo, wataalamu wa afya wana mapendekezo kwa wale wanaopendelea kuweka urembo huo, wakishauri  uwekwe kwa  wasio na magonjwa ya muda mrefu. Wasiopendekezwa kuweka urembo huo ni pamoja na wenye magonjwa ya…

Read More

Masoud apania rekodi Chama la Wana

KOCHA mpya wa Stand United ‘Chama la Wana’, Juma Masoud amesema licha ya kukabidhiwa timu hiyo wakati huu wa michezo ya mwisho wa msimu hana presha, huku malengo yake makubwa ni kuweka rekodi ya kuipandisha Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao. Kocha huyo wa zamani wa FGA Talents kwa sasa Fountain Gate, amejiunga na kikosi…

Read More

Wasira amtumia ujumbe Lissu, agusa udiwani na ubunge CCM

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema mabadiliko ya Katiba ya chama hicho yaliyofanyika yatawawezesha kupata wagombea wa udiwani na ubunge wazuri na si mzigo, huku akivionya vyama vya upinzani akisema: “Ikulu wataendelea kuishuhudia kwenye runinga tu.” Mbali na hilo, Wasira amelitaka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kushughulikia…

Read More

Adebayor apiga mkwara Singida | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Singida Black Stars, Victorien Adebayor amepiga mkwara mapema kabla ya ngwe ya lala salama ya Ligi Kuu Bara kuanza wikiendi hii, kwa sasa amepata muda mzuri wa kufanya mazoezi na timu, hivyo anarudi na moto. Adebayor aliyesajiliwa dirisha kubwa alianza kutumika katika mechi tatu za Ligi Kuu ikiwamo ile ya kwanza dhidi ya…

Read More

Sababu Tanzania kuuza umeme nje ya nchi

Dar es Salaam. Kwa nini Tanzania iuze umeme nje ya nchi, ilhali bado haijatosheleza mahitaji yake ya ndani? Swali hilo linawakilisha maswali lukuki wanayojiuliza baadhi ya Watanzania, kuhusu uwezekano wa Tanzania kumulika nje wakati ndani mwake kuna giza. Msingi wa maswali hayo ni ukweli kwamba, upatikanaji wa umeme nchini ni takriban asilimia 75 kwa mujibu…

Read More