Mbwembwe za Rais wa Bukina Faso kuwa kivutio Tanzania

Dar es Salaam. Rais wa mpito wa Bukina Faso, Kapteni Ibrahim Traore ambaye amekuwa kivutio kwa utaratibu wake wa kuvaa kombati za jeshi pamoja na kutembea na bastola kiunoni tofauti na marais wengine, ni miongoni mwa marais 25, watakaohudhuria mkutano wa kimataifa kuhusu nishati Afrika. Kapteni Traore mwenye umri mdogo wa miaka 34 kuliko marais…

Read More

Kipenseli ajitafuta mapemaa Bara | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Mashujaa, Balama Mapinduzi ‘Kipenseli’ amesema ameanza kujitafuta mapema kikosini kabla ya kurejea kwa Ligi Kuu Bara, akipania kutumua duru hilo la pili kuondoa gundu kwa kutofunga wala kuasisti ili amalize msimu kwa heshima. Nyota huyo wa zamani wa Alliance FC, Yanga na Coastal Union, aliliambia Mwanaspoti, kitendo cha kufunga wala kuwa na…

Read More

Mahinyila asema ‘No reforms no election’ ni amri ya wananchi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha), Deogratius Mahinyila amesema kauli mbiu ya ‘No reforms, no election’ (Hakuna mabadiliko, hakuna uchaguzi) ni amri ya wananchi walioiweka Serikali madarakani. Kauli hiyo imekosolewa hivi karibuni na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Stephen Wasira akisema chama hicho kiko tayari kwa mazungumzo ya maridhiano, lakini hakitaki…

Read More

Simba yatinga 32-Bora na rekodi mbili

SIMBA imeanza michuano ya Kombe la Shirikisho kibabe kwa kuifumua Kilimanjaro Wonders kwa mabao 6-0, huku ikiandika rekodi mbili katika hatua ya 64 Bora kwenye Uwanja wa KMC Complex, jijini Dar es Salaam. Rekodi ya kwanza iliyowekwa na timu hiyo ni kufunga bao la mapema likiwekwa sekunde 18 baada ya filimbi ya kwanza ya kuanzisha…

Read More

WATUMISHI WA TRA WALIONUSURIKA KIFO TEGETA WATUNUKIWA

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewatunuku vyeti vya utumishi uliotukuka watumishi wake wawili wa Idara ya Forodha walionusurika kifo wakati wakitekeleza majukumu yao baada ya gari la Mamlaka kushambuliwa na wananchi katika eneo la Tegeta Jijini Dar es Salaam Desemba, 2024 ambapo mmoja wao Amani Simbayao alipoteza maisha na hivyo cheti chake kukabidhiwa kwa mke…

Read More

WASIRA: UAMUZI WA MKUTANO MKUU UMEZINGATIA KATIBA YA CCM

 Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mainduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema uamuzi wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM, uliomchagua Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kugombea kiti cha Urais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, umezingatia takwa la kikatiba na mamlaka ya Mkutano Mkuu. Amesema baadhi ya watu wanaojiita wanaCCM…

Read More

Mlandizi Quens ni maombi tu ikijipanga upya

HALI iliyonayo mabingwa wa zamani wa Ligi ya Wanawake (WPL), Mlandizi Queens siyo nzuri na sasa inasuka mipango mipya kuhakikisha mechi nane zilizosalia ni kufa na kupona. Hadi sasa Mlandizi haijaonja ladha ya ushindi tangu ishiriki ligi ikisalia mkiani mwa msimamo na pointi moja ikiruhusu mabao 50 na kufunga tano. Akizungumza na Mwanaspoti, Kocha wa…

Read More