Wasomi watakiwa kutafiti usafirishaji haramu wa binadamu

Dar es Salaam. Wanafunzi wa vyuo vikuu wametakiwa kufanya utafiti na kuandika maandiko ya kisomi, kuhusu usafirishaji haramu wa binadamu ili kuibua na kupaza sauti dhidi ya ukatili huo. Mkurugenzi wa Program wa Mtandao wa Kitaifa wa Kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Jones John amesema hayo leo Januari 25, 2025 wakati alipokuwa wakitoa elimu …

Read More

Wanafunzi 200,000 waliotakiwa kumaliza kidato cha nne mwaka jana wapo wapi?

Dar es Salaam. Januari 23, 2025, Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) lilitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne ya watahiniwa waliofanya mtihani 2024. Necta ilisema jumla ya watahiniwa 557,706 walisajiliwa kufanya mtihani huo.  Hata hivyo uchunguzi wa Mwananchi umebaini mwaka 2021 wanafunzi hao walijiunga kidato cha kwanza wakiwa 759,706.  Taarifa iliyotolewa na Tamisemi  ilionyesha,…

Read More

Copco yatupwa nje kombe la FA, yabamizwa 5-0

YANGA leo ilikula kiporo cha mechi za Kombe la Shirikisho kiulaini baada ya kuifumua Copco ya Mwanza kwa mabao 5-0, huku nyota mpya wa kikosi hicho, Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’ akishindwa kuanza kuitumikia timu hiyo baada ya kuanzishwa jukwaani na Kocha Sead Ramovic. Wakati Ikanga Speed akianzia jukwaani, beki wa kulia Israel Mwenda aliyesajiliwa katika…

Read More