Kikwete asimulia alivyopambana na ucheleweshaji kesi enzi zake

Dodoma. Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ameeleza namna changamoto ya ucheleweshaji wa kesi na utoaji wa nakala za hukumu ilivyokithiri na namna alivyopambana nalo wakati wa uongozi wake. Amesema kuna kipindi kulikuwa na majaji waliokuwa na hukumu zaidi ya 60 ambazo hazijaandikwa, huku mmoja akiwa karibu kustaafu. Simulizi hiyo ameitoa leo Jumamosi, Januari 25, 2025, alipohutubia…

Read More

Ramovic amchomoa Ikanga Speed | Mwanaspoti

WAKATI mashabiki wa Yanga wakiwa na hamu kubwa ya kumuona nyota mpya wa kikosi hicho, Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’ katika mchezo wa Kombe la Shirikisho la (FA), dhidi ya Copco FC, mambo yamekuwa ni tofauti baada ya kukosekana baada ya kocha Sead Ramovic kumchomoa kikosini. Nyota huyo aliyesajiliwa katika dirisha dogo la Januari akitokea AS…

Read More

Mkongomani azitaka tatu za Simba

WAKATI Tabora United ikijifua kwa mchezo wa kiporo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba, kocha Anicet Kiazayidi amesema hana presha huku akisifu kiwango cha wapinzani wao. Timu hizo zitakutana kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora utakaopigwa Februari 2 kwani katika mechi ya kwanza zilipokutana Uwanja wa KMC Complex, Simba ilishinda mabao 3-0,…

Read More

Hamas yawaachia huru wanajeshi wanne wa Israel, Wapalestina 200 pia kuachiwa

Gaza. Israel imethibitisha kuwapokea wanajeshi wake wanne waliokuwa wakishikiliwa mateka na kundi la Hamas eneo la Gaza kwa zaidi ya mwaka mmoja. Katika makubaliano hayo, raia 200 wa Palestina waliofungwa kwenye magereza mbalimbali nchini Israel pia wameachiwa huru kutoka katika magereza hayo. Wafungwa hao wameachiwa kufuatia makubaliano ya kusitishwa mapigano hayo kutamka kuwa Israel itawaachia…

Read More

Serikali yaeleza sababu za kukatika umeme

Dar es Salaam. Wakati kukiwa na malalamiko ya kukatika mara kwa mara kwa umeme, Serikali imesema kwa sasa nchi inazalisha umeme kuliko uwezo wa mahitaji ya nishati hiyo,  baada ya kukamilika kwa ujenzi wa  bwawa la kufua umeme la Mwalimu. Nyerere. Hayo yamesemwa leo Jumamosi Januari 25, 2025 na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa,…

Read More

Mwambusi ana deni Coastal Union

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Juma Mwambusi amesema kazi imebaki kwake na wachezaji kuhakikisha kupambana ili kufikia malengo ya kucheza tena Ligi Kuu Bara msimu ujao baada ya uongozi kufanyia kazi usajili dirisha dogo. Coastal Union ambayo ipo nafasi ya 11 baada ya kukusanya pointi 18 kwenye mechi 16 ilizocheza imeongeza wachezaji tisa dirisha dogo…

Read More

Goodluck Gozbert Kuchoma Gari Mchungaji Mashimo Afichua Siri Nzito – Video – Global Publishers

Mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili, Goodluck Gozbert Video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili, Goodluck Gozbert akiwa anachoma gari aina ya Mercedes Benz linalodaiwa kuwa ni lile alilopewa zawadi na mchungaji mmoja maarufu nchini. Kwenye video hiyo, Gozbert anasikika mwenyewe akieleza kwamba ameamua kulichoma gari…

Read More