NAIBU WAZIRI WA FEDHA AZINDUA BAHATI NASIBU YA TAIFA,ASEMA MAPINDUZI MAKUBWA SEKTA YA MICHEZO YA KUBAHATISHA TANZANIA

Sekta ya michezo ya kubahatisha nchini Tanzania imepiga hatua kubwa baada ya uzinduzi rasmi wa Bahati Nasibu ya Taifa Tanzania iliyopata baraka kutoka zote kutoka kwa Mhe. Hamad Chande, Naibu Waziri wa Fedha. Mpango huu, unaosimamiwa na ITHUBA, Kampuni inayoongoza barani Afrika katika kuendesha michezo ya Bahati Nasibu, unalenga kuleta mapinduzi katika sekta hiyo, kuchochea…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Mpanzu atulize mawenge anajua mpira

USAJILI ambao Simba iliufanya wa kumsajili Elie Mpanzu katika dirisha dogo la usajili ulikuwa gumzo kubwa nchini kutokana na jina ambalo mchezaji huyo kutoka DR Congo alikuwa nalo kabla hata hajaja. Ni jambo la kawaida kwa Watanzania kumpamba mtu hata kama hawajajiridhisha kwa kumtazama vya kutosha, wewe wape tu picha, maelezo wataandika wenyewe. Sasa Mpanzu…

Read More

Mgambo akamatwa Tunduma akijifanya trafiki

Songwe. Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linamshikilia Bangros Sikaluzwe (37), mkazi wa Ilolo, Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe kwa tuhuma za kujifanya askari wa Jeshi la Polisi Tanzania. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Januari 22, 2025 na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Akama Shaaban, mtuhumiwa huyo alikamatwa Januari 22, 2025, saa…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Mpanzu atulize mawenge anajua bolu

USAJILI ambao Simba iliufanya wa kumsajili Elie Mpanzu katika dirisha dogo la usajili ulikuwa gumzo kubwa nchini kutokana na jina ambalo mchezaji huyo kutoka DR Congo alikuwa nalo kabla hata hajaja. Ni jambo la kawaida kwa Watanzania kumpamba mtu hata kama hawajajiridhisha kwa kumtazama vya kutosha, wewe wape tu picha, maelezo wataandika wenyewe. Sasa Mpanzu…

Read More

Absa Bank Tanzania concludes Spend & Win campaign with great success, third Subaru Forester winner applauds service excellence

The final winner of Absa Bank Tanzania’s three-month Spend & Win campaign, Ms. Amalia Lui Shio (center), receives the ignition key to a brand-new 2024 Subaru Forester from the bank’s Head of Retail Banking, Ms. Ndabu Lilian Swere, during a ceremony held in Dar es Salaam yesterday. The campaign aimed to encourage more Tanzanians to…

Read More

Tanzania kuanza kuzalisha kompyuta – MICHUZI BLOG

 Na Mwandishi Wetu, Dodoma TANZANIA iko mbioni kuwa na kiwanda kikubwa cha kutengeneza kompyuta mpakato (Laptop) kitakachozalisha kompyuta aina ya Tanzanite. Aidha, nyingi ya komyuta hizo zitaelekezwa katika kukuza sekta ya TEHAMA kuanzia shule za msingi hadi sekondari. Hayo yalibainika Bungeni jijini Dodoma jana wakati Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya TEHAMA, Dkt. Nkundwe Mwasaga alipofanya…

Read More

Kizungumkuti ishu ya Kapama, Fountain Gate na Kagera Sugar

KIUNGO Nassor Kapama amezua maswali baada ya kuonekana akijifua na Fountain Gate kisha ghafla kurudi chaka lake la zamani wa Kagera Sugar iliyomtambulisha juzi, lakini Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Thabit Kandoro afunguka sababu iliyomrudisha. Kiungo huyo wa zamani wa Simba ni miongoni mwa wachezaji wakongwe wa klabu hiyo, lakini katika kipindi cha dirisha dogo…

Read More