Phiri aipeleka Simba nusu fainali

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba anayekipiha kwa sasa Power Dynamos ya Zambia amekiangalia kikosi cha sasa wa Wekundu hao chini ya kocha Fadlu Davids na kusema anaiona kabisa ikifika mbali katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, iwapo itaamua kukaza buti. Raia huyo wa Zambia aliyeichezea Simba kwa misimu miwili kabla ya kuondoka dirisha dogo…

Read More

Aliyetakiwa Yanga atua Sauzi | Mwanaspoti

UNAMKUMBUKA yule straika mwili jumba, Makabi Lilepo aliyekuwa akiwindwa na Yanga tangu msimu uliopita ili kuja kuziba nafasi ya Fiston Mayele? Unaambiwa jamaa huyo aliyekuwa enzi hizo Al Hilal ya Sudan ametua Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini akitokea Valenciennes ya Ufaransa. Lilepo alikuwa akitakiwa na Yanga iliyokuwa chini ya Kocha Nasreddine Nabi ambaye kwa sasa…

Read More

Joshua Mutale apewa nafasi nyingine

WINGA wa Simba, Mzambia Joshua Mutale amepewa nafasi nyingine ya kuonyesha kile kilichopo miguuni mwake, baada ya mabosi wa klabu hiyo kuamua kumbakisha katika dirisha dogo tofauti na mipango iliyokuwapo awali ya kumchomoa kikosini. Kwa sasa nyota huyo wa zamani wa Power Dynamos ana kibarua cha kusalia kikosini humo ama kujiondoa kwa kile atakachokionyesha duru…

Read More

Kumekucha! Yanga kubomoa kamati ya mashindano

BAADA tu ya kutolewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika, vigogo wa Yanga waliitana haraka na kufanya tathmini ya kile ambacho kimewakwamisha na kupitia kikao hicho yapo waliyoyabaini na kuna maamuzi walichukua, ikiwamo kuigusa kamati ya mashindano ya klabu hiyo. Kwanza kwa pamoja walikubaliana kwamba timu yao ilistahili kupata ushindi dhidi ya MC Alger ya Algeria…

Read More

Waliozuiliwa matokeo kidato cha nne kurudia mitihani 2025

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limezuia matokeo ya wanafunzi 459 wa kidato cha nne mwaka 2024 kwa sababu mbalimbali zilizosababisha wasifanye mitihani yote. Hata hivyo wanafunzi hao wamepewa fursa ya kurudia mitihani ya kidato cha nne mwaka huu 2025. Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Dk Said Mohammed, akitangaza matokeo ya kidato cha…

Read More

Kwa nini Kusafiri kote Afrika ni Kugumu Sana kwa Waafrika? – Masuala ya Ulimwenguni

Kusafiri kote barani Afrika ni ngumu kwa Waafrika kwa sababu ya visa vizuizi. Credit: Busani Bafana/IPS by Busani Bafana (bulawayo) Alhamisi, Januari 23, 2025 Inter Press Service BULAWAYO, Jan 23 (IPS) – Aliko Dangote, mtu tajiri zaidi baŕani Afŕika, amebeba kufadhaika kwake kwa jinsi anavyobeba paspoti yake. Ili kusafiri katika bara analoliita nyumbani, anahitaji visa…

Read More