RIPOTI MAALUMU: Nyuma ya pazia anguko la viwanda Tanga

Kijana Bakari Rajabu (siyo jina halisi), mkazi wa Majengo jijini Tanga, anaishi maisha ya shida. Mahabusu na jela zimekuwa kama nyumbani kwake. Lakini, kwa maneno yake mwenyewe, hakupenda maisha haya. “Nimelazimika kuingia katika uhalifu ili niishi. Ninaishia jela au mahabusu. Lakini watu hawaelewi. Mimi sipendi kuwa hivi,” anasema Hata hivyo, Bakari, ambaye ndoto zake baada…

Read More

UCHAMBUZI WA MALOTO: Kwa heri Chadema ya Mbowe

Mashambulizi ya jicho kwa jicho na kuvuana nguo. Vita ya maneno na mabadilishano ya ahadi kuhusu kesho ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Kilikuwa kipindi pevu cha mnyukano, hatimaye tamati imefikiwa na mwanzo mpya umezaliwa. Tundu Lissu ndiye Mwenyekiti wa Chadema na Freeman Mbowe, anavaa cheo kipya, mwenyekiti mstaafu. Tamthiliya, vioja na ngebe za…

Read More

Ikanga Speed aomba mechi, aanza kusuka mipango

KIKOSI cha Yanga kinaendelea kujifua kwa ajili ya kurejea katika mechi za michuano ya ndani ikiwamo Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho baada ya kutolewa Ligi ya Mabingwa Afrika, huku winga mpya wa timu hiyo, Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’ akiomba mechi hizo mapema. Winga huyo aliyetua katika dirisha dogo kutoka AS Vita ya DR…

Read More

Kwa heri Chadema ya Mbowe siasa, karibu Lissu

Mashambulizi ya jicho kwa jicho na kuvuana nguo. Vita ya maneno na mabadilishano ya ahadi kuhusu kesho ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Kilikuwa kipindi pevu cha mnyukano, hatimaye tamati imefikiwa na mwanzo mpya umezaliwa. Tundu Lissu ndiye Mwenyekiti wa Chadema na Freeman Mbowe, anavaa cheo kipya, mwenyekiti mstaafu. Tamthiliya, vioja na ngebe za…

Read More

Fadlu ana wiki tatu za mkakati

KIKOSI cha Simba kinajiandaa na mchezo wa hatua ya 64-Bora ya Kombe la Shirikisho la ndani dhidi ya Wonders ya Kilimanjaro utakaopigwa Jumapili hii kwenye Uwanja wa KMC Complex, huku kocha wa timu hiyo, Fadlu Davids akiandaa mikakati mipya ya kukabiliana na wiki tatu ngumu. Wiki hizo tatu ni za mshikemshike wa Ligi Kuu Bara…

Read More

WANA-DGSS WAJADILI NA KUWEKA MIKAKATI YA UFUATILIAJI WA UTEKELEZAJI WA MAONI RASIMU YA DIRA YA TAIFA 2025-2050

Washiriki wa Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) leo Jumatano, Januari 22, 2025, wamejadili masuala mbalimbali yanayohusiana na rasimu ya Dira mpya ya Taifa 2025-2050 katika semina iliyofanyika katika ofisi za Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Mabibo, jijini Dar es Salaam. Mwanasaikolojia Sylvia Sostenes ameibua hoja kuhusu umuhimu wa masomo ya stadi za kazi katika…

Read More

UWT MASEKELO WAPONGEZA USHIRIKI WA WANAWAKE UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA, WAISHUKURU CCM KUMCHAGUA SAMIA KUGOMBEA URAIS 2025

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Tawi la Masekelo, Kata ya Masekelo, Wilaya ya Shinyanga Mjini, Bi. Amina Francis Mwandu akizungumza kwenye mkutano wa UWT tawi la Masekelo Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Tawi la Masekelo, Kata ya Masekelo, Wilaya ya Shinyanga Mjini, Bi. Amina Francis Mwandu akiteta jambo na Katibu wa…

Read More