‘Miamala kidijitali ni njia salama’

Dar es Salaam. Mkuu wa Kitengo cha Wateja wa Rejareja kutoka Benki ya Absa, Ndabu Swere amesema malipo ya kidijitali ni njia inayowezesha kufanya miamala kwa usalama zaidi. Amesema walipoanzisha huduma ya miamala kwa njia ya kidijitali, asilimia 70 pekee ya wateja wao ndiyo walikuwa wanatumia huduma hiyo, kwa sasa watumiaji wa huduma hiyo wamefikia…

Read More

Upelelezi kesi ya wanaodaiwa kuchana noti za Sh4.6 milioni upo hatua za mwisho

Dar es Salaam. Upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili washtakiwa 13, wakiwamo waliokuwa watumishi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), upo katika hatua za mwisho kukamilika. Kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka matano, likiwamo la kuharibu noti zenye thamani ya Sh4.6 milioni kwa kuzichanachana, hivyo kuisababishia benki hiyo hasara ya Sh4.6 bilioni. Wakili wa Serikali,…

Read More

Tabora United yaivutia kasi Simba Ligi Kuu

TABORA United inapiga hesabu ndefu juu ya namna gani itaikaribisha Simba nyumbani na papo hapo kocha wa timu hiyo ameshtukia kitu na fasta akaomba mechi mbili za kujipima nguvu haraka. Tabora itafungua mwaka kwa kuikaribisha Simba katika mechi ya kiporo ya Ligi Kuu Bara itakayopigwa Februari 2 kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mjini Tabora…

Read More

Mziki wa Februari Ligi Kuu wamtikisa Maxime

SIKU chache baada ya maboresho ya ratiba, kocha mkuu wa Dodoma Jiji, Mecky Mexime amekiri mwezi ujao wakati Ligi Kuu Bara itakaporejea ni dume kwelikweli kutokana na bandika bandua ya mechi huku akiweka wazi kuwa wataendelea walipoishia. Mchezo wa mwisho Dodoma Jiji kabla ya ligi kusimama kupisha Mapinduzi Cup 2025 na fainali za CHAN 2024…

Read More

Upatanishi Chadema ni muhimu kama uji na mgonjwa

Dar es Salaam. Uchaguzi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambacho ndicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania, umemalizika lakini kinahitaji upatanishi wa kweli kama kinataka kubaki salama na kuingia uchaguzi mkuu wakiwa wamoja. Haitakuwa mara ya kwanza kwa chama cha siasa hapa Tanzania kuunda kamati ya upatanishi, kwani mwaka 2009, Chama cha Mapinduzi…

Read More

Sababu za Kapama kurudi Kagera Sugar

KIUNGO Nassor Kapama amezua maswali baada ya kuonekana akijifua na Fountain Gate kisha ghafla kurudi chaka lake la zamani wa Kagera Sugar iliyomtambulisha juzi, lakini Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Thabit Kandoro afunguka sababu iliyomrudisha. Kiungo huyo wa zamani wa Simba ni miongoni mwa wachezaji wakongwe wa klabu hiyo, lakini katika kipindi cha dirisha dogo…

Read More