Messi wa Tanga aja kivingine Namungo

NYOTA mpya wa Namungo, Issa Abushehe ‘Messi’, amesema kitendo cha kujiunga na kikosi hicho anaamini itakuwa njia nzuri kwake ya kumrejesha katika ubora wake, huku akiweka wazi sababu kubwa za kuamini hivyo ni uwepo wa kocha, Juma Mgunda. Winga huyo amejiunga na kikosi hicho cha ‘Wauaji wa Kusini’, baada ya kuvunja mkataba wake wa miezi…

Read More

Moto wa Mayele bado wamtesa Mgeveke

KITASA wa Fountain Gate, Joram Mgeveke, amekiri pamoja na kukutana na washambuliaji tofauti katika maisha ya soka, lakini ukweli hakuna aliyekuwa hatari kama Fiston Mayele alivyokuwa akicheza Ligi Kuu Bara katika kikosi cha Yanga. Mgeveke ambaye amecheza dhidi ya washambuliaji wengi na tishio, alisema kuwa Mayele alikuwa na sifa za kipekee zilizomfanya kuwa mchezaji ambaye…

Read More

Adaiwa kuchomwa mshale chanzo mgogoro wa ardhi

Shinyanga. Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linamshikilia mtu mmoja kati ya wanane wanaodaiwa kumshambulia na kumpiga mshale Mussa Ngasa (40), mkazi wa Kijiji cha Nhobola kilichopo Kata ya Tagala wilayani Kishapu, wakigombea ardhi. Hayo yamesemwa leo Jumatano Januari 22, 2025, na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Janeth Magomi, alipozungumza na Mwananchi kuhusiana na tukio…

Read More

Josiah: Ishu ya wakongwe ni nje ya uwezo wangu, nakomaa na hawa Prisons

Mbeya. Kocha mkuu wa Tanzania Prisons, Aman Josiah amesema kuondoka kwa baadhi ya nyota wake ni pengo, lakini usajili mpya utaweza kuziba upungufu na timu kufanya vizuri. Katika dirisha dogo lililofungwa Januari 15, Prisons imesajili wachezaji sita, huku wakiondoka mastaa wake sita waliokuwa watumishi wa Magereza ambao tayari wamepangiwa majukumu mengine. Walioondoka ni wakongwe Salum…

Read More

BILIONI 14.48 KULIPA FIDIA MRADI WA MAGADI SODA ENGARUKA

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,akizungumza kwenye Kipindi cha mahojiani cha Jambo Tanzania kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha TBC kilichofanyika leo Januari 22,2024 katika ofisi za Kituo hicho jijini Dar es Salaam. Na.Mwandishi Wetu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo (Mb) amesema Serikali ya Tanzania inaandika historia katika uendelezaji wa sekta ya…

Read More

Simba yapasua mtu 11-0, Mnunka arejea na mbili

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), Simba Queens leo jioni wameichakaza Mlandizi Queens kwa mabao 11-0 kwenye Uwanja wa KMC Complex jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo, Jentrix Shikangwa alifunga mabao manne, Asha Djafar alitupia hat-trick, Aisha Mnunka aliweka kambani mawili wakati Precious Christopher na Ruth Ingosi kila moja alifunga mara moja….

Read More