Clara Luvanga anang’ara tu Saudia

NYOTA wa kimataifa wa soka la wanawake, Clara Luvanga amezidi kutakata baada ya wikiendi iliyopita kutupia mabao mawili yaliyoisaidia timu ya Al Nassr kupata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Al Qadsiah, huku mtandao wa klabu hiyo ukimpaisha kwa kusema ‘hakuna wa kumzuia kutupia’. Al Nassr ilipata ushindi huo ikiwa uwanja wa nyumbani wa Al…

Read More

Baadhi ya wanachama Dodoma watangaza kumuunga mkono Lissu

Dodoma. Ikiwa imebaki siku moja kuelekea kwenye mkutano mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambapo pia kutakuwa na uchaguzi mkuu wa kuwapata viongozi wa ngazi za juu wa chama hicho, baadhi ya wanachama mkoani Dodoma wametangaza kumuunga mkono Tundu Lissu. Wakizungumza na waandishi wa habari leo jumapili Januari 19, 2025 jijini Dodoma wanachama…

Read More

Uhusiano wa Tanzania, Czech wazidi kuleta matunda

Prague: Imeelezwa kuwa uhusiano wa kiuchumi kati ya Czech na Tanzania unazidi kuimarika kutokana na misingi imara ya ushirikiano wa kimataifa katika nyanja zote kwa sasa. Kauli hiyo imetolewa jana Jumamosi Januari 18, 2025 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, alipokutana na mwenyeji wake, Waziri wa…

Read More

Get Program yamrejesha Miraji WPL

Get Program inayoshiriki Ligi ya Wanawake (WPL) imempa mkataba wa mwaka mmoja aliyewahi kuwa kocha wa Ceasiaa Queens, Miraji Fundi. Fundi alikuwa miongoni mwa makocha watatu waliopita Ceasiaa kwenye mzunguko wa kwanza wa ligi akiwemo Petro Mrope na Shabani Said kabla ya Ezekiel Chobanka kupewa kandarasi ya kuiongoza timu hiyo. Chanzo kutoka Get Program kililiambia…

Read More

Ongala: Chilunda atawashangaza | Mwanaspoti

BAADA ya KMC kukamilisha usajili wa mshambuliaji, Shaaban Idd Chilunda, kocha wa kikosi hicho Kally Ongala amesema nyota huyo atawashangaza wengi kutokana na uzoefu aliokuwa nao, huku akiweka wazi ni mojawapo ya mapendekezo yake kikosini. Akizungumza na Mwanaspoti, Ongala alisema moja ya mapendekezo yake yalikuwa ni kuongezewa nguvu eneo la ushambuliaji na kitendo cha kumpata…

Read More

Prisons kunani? Manahodha wachomolewa! | Mwanaspoti

KUNANI Tanzania Prisons? Licha ya kuletwa kocha mpya, Aman Josiah habari ya kushtua ni kuona wakongwe wa timu hiyo wakiondolewa. Habari ambazo Mwanaspoti limepenyezewa ni uongozi wa juu katika Jeshi la Magereza (Kitengo cha Michezo) limewachomoa manahodha wao, beki wa kulia Salim Kimenya na kiraka Jumanne Elfadhili kuendelea kuitumikia timu hiyo na kuhamishiwa katika majukumu…

Read More

Serikali yadhibiti mfumuko wa bei, Pato la Taifa lapaa

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali imeimarisha uchumi kupitia uwekezaji katika nishati, maji, afya, elimu, na usafirishaji hivyo kiwango halisi cha ukuaji wa Pato la Taifa kimeongezeka kutoka asilimia 4.8 mwaka 2020 hadi asilimia 5.1 mwaka 2023. Aidha, amesema Serikali imefanikiwa kudhibiti mfumuko wa bei hadi asilimia 3 mwaka 2024 kutoka asilimia…

Read More

Odero: Nimetumwa na mbingu kugombea uenyekiti Chadema

Dar es Salaam. Katika nyakati za lala salama kuelekea uchaguzi mkuu wa Chadema, mgombea uenyekiti Odero Charles Odero amesisitiza kuwa, hakugombea kwa bahati mbaya, bali anatekeleza maelekezo ya Roho Mtakatifu na mbinguni. Mpaka sasa kuna wagombea watatu wa uenyekiti Chadema katika uchaguzi utakaofanyika Jumanne Januari 21, 2025 jijini Dar es Salaam, akiwamo Mwenyekiti Freeman Mbowe…

Read More

Vibali vyamtibulia straika mpya Yanga

YANGA Princess dirisha hili dogo limesajili washambuliaji wawili wa kimataifa, hata hivyo, wanakabiliwa na changamoto ya vibali (ITC). Wachezaji hao ni Mukandayisenga Jeannine kutokea Rayon Sports ya Rwanda na Juliet Nalukenge wa Uganda. Kiongozi mmoja wa Yanga (hakutaka jina lake litajwe) alisema hadi sasa hawajatambulisha wachezaji hao kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo vibali. Aliongeza, Jeannine…

Read More

Wenye ulemavu watoa neno uandikishaji wapigakura

Pemba. Watu wenye ulemavu kisiwani hapa wameiomba Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), kuyapa kipaumbele makundi ya watu wenye mahitaji maalumu, katika uandikishaji kwenye daftari la kudumu la wapigakura. Awamu ya pili ya uandikishaji inatarajiwa kuanza Februari Mosi katika Wilaya ya Micheweni na kumalizika Machi 17 Wilaya ya Mjini Unguja huku tume ikitarajiwa kuandikisha wapiga…

Read More