Madenge aja kivingine Biashara United

KOCHA wa Biashara United, Omary Madenge amesema kwa sasa kikosi hicho kinapigania kubaki katika Ligi ya Championship kwa msimu ujao, baada ya malengo yao ya kukipandisha Ligi Kuu Bara kukwama kutokana na changamoto mbalimbali zilizojitokeza. Kauli ya kocha huyo inajiri baada ya timu hiyo kupokwa pointi 15, kutokana na kuandamwa na ukata ulioifanya kushindwa kusafiri…

Read More

Mahitaji yapandisha bei ya umeme Zanzibar

Unguja. Wakati Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), ikitangaza bei mpya elekezi kwa watumiaji wote wa umeme Zanzibar, imetaja sababu ya mabadiliko hayo ni kuongezeka kwa mahitaji ya matumizi ya umeme Visiwani Zanzibar. Mabadiliko hayo yamekuja ikiwa ni miaka tisa tangu yafanyike mabadiliko ya mwisho mwaka 2016 na bei hizi mpya…

Read More

Wakurugenzi Lindi wapewa kazi zao la korosho

Lindi. Wakurugenzi wa halmashauri mkoani hapa wametakiwa kuwasimamia vijana waliopata mafunzo ambayo yametolewa na Bodi ya korosho Tanzania (CBT) kupitia programu ya” Jenga kesho iliyo bora (BBT). Vijana hao walipewa mafunzo ili wakawasaidie wakulima kuongeza uzalishaji katika zao la korosho kwa kutumia njia za kitaalamu. Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo ya siku tano jana…

Read More

Sabilo, Ludovick waongeza mzuka TMA

BAADA ya TMA kukamilisha uhamisho wa aliyekuwa nyota wa JKT Tanzania, Sixtus Sabilo na kiungo Venance Ludovick, katibu mkuu wa timu hiyo, Christopher Marcus amesema wachezaji hao watakuwa na msaada mkubwa kwao ndani ya kikosi hicho. Sabilo aliyewahi kutamba na timu mbalimbali zikiwemo Mbeya City huku kwa upande wa Ludovick aliyetokea Stand United na kuzichezea…

Read More

Funga Januari Kibabe kwa Kunyakua Milioni Moja ya Shindano la Expanse

NAJUA Januari sio nyepesi kabisa lakini shemu moja tu ndio inaweza kuifanya kumalizika kwa shangwe, Sio kwingine ni kushiriki shindano la Expanse kasino pale Meridianbet ambapo unaweza kujishindia kitita cha shilingi milioni moja taslimu na mwezi ukaufunga kibabe. Meridianbet kwa mara nyingine tena wanakuletea shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo…

Read More

Maniche awatoa hofu Mtibwa Sugar

KOCHA wa Mtibwa Sugar, Awadh Juma ‘Maniche’ amesema licha ya timu hiyo kutosajili mchezaji yeyote dirisha dogo la usajili lililofungwa Januari 15, mashabiki wasiwe na hofu kwa sababu wachezaji wao muhimu wote wamewabakisha. Akizungumza na Mwanaspoti, Maniche alisema benchi la ufundi hawana hofu na kutofanyika kwa usajili kwa sababu tayari wachezaji wao wote muhimu hakuna…

Read More

Hasnath Ubamba atamani rekodi Misri

BAADA ya kufika nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake msimu huu, winga wa FC Masar ya Misri, Hasnath Ubamba amesema anatamani kuweka rekodi nyingine ligi kuu. Masar ilitolewa nusu fainali na AS Far Rabat ya Morocco kwa jumla ya mabao 2-1 ikiambulia medali ya mshindi wa tatu huku mtanzania huyo akicheza michezo…

Read More

Mynaco atamani kuifunga Ahly | Mwanaspoti

KIUNGO wa Zed FC inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini Misri, Maimuna Hamis ‘Mynaco’ alisema ni mara ya kwanza kucheza na Al Ahly na anatamani timu yake ipate ushindi. Mtanzania huyo ni msimu wa pili kucheza katika ligi hiyo akisajiliwa kutokea Yanga Princess ambako alicheza kwa msimu mmoja 2022/23. Akizungumza na Nje ya Bongo, Mynaco alisema…

Read More