Wasira aanza kazi na mambo mawili

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amewashukuru wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho kwa kumchagua, huku akisema anaianza kazi hiyo kwa kuhakikisha chama kinaendelea kushinda  katika uchaguzi na kushika dola. Pia, amesema atahakikisha anasimamia umoja, amani na maendeleo. Wasira amesema hayo leo Januari 18, 2025 katika Mkutano…

Read More

Utafiti kubainisha uadilifu watendaji ZRA

Unguja. Wakati watendaji wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) wakitakiwa kuzingatia na kuyaishi maadili katika utendaji kazi wa kila siku, mamlaka hiyo inatarajia kufanya utafiti kubaini kiwango cha uadilifu kwa watumishi wake. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti na Mipango kutoka ZRA, Ahmed Haji Saadat, leo Januari 18, 2025 alipofungua mafunzo ya uadilifu…

Read More

Vifaa vya kisasa vyaongeza ufanisi sekta ya uvuvi

Unguja. Baada ya kufungwa vifaa maalumu kwenye boti za wavuvi vya kuangalia masafa na kiwango cha samaki baharini (PDS), imeelezwa ufanisi waongezeka katika uvuvi. Vifaa hivyo vinavyofungwa kwenye boti vinasaidia kutoa taarifa za wavuvi wanaokwenda baharini iwapo wakikumbwa na dhoruba au changamoto nyingine yoyote. Mwenyekiti wa Kamati za Uvuvi kutoka Pemba, Sheha Abdalla Juma amesema…

Read More

Mserbia apewa masharti KenGold | Mwanaspoti

KenGold imefikia makubaliano ya kumpa mkataba wa miezi sita kocha mpya raia wa Serbia, Vladislav Heric iliyomtambulisha jana Jumamosi, huku akipewa masharti ya kuhakikisha kikosi hicho chenye makazi yake Chunya jijini Mbeya, kinasalia Ligi Kuu Bara msimu ujao. Kocha huyo wa zamani wa Chippa United ya Afrika Kusini, aliwasili nchini juzi kwa ajili ya kukiongoza…

Read More

Watumishi Mwanza kupambana na magonjwa yasiyoambukiza kwa mazoezi

Mwanza. Mkoa wa Mwanza umeanzisha kampeni ya watumishi wa umma ya kufanya mazoezi ya viungo kila Jumamosi ya tatu ya mwezi ili kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza. Kampeni hiyo imezinduliwa leo Jumamosi Januari 18, 2025 kwa kutembea na kukimbia kilomita tano. Katibu tawala msaidizi- Miundombinu, Chagu  Ng’oma amesema kwa miaka mitano magonjwa yasiyoambukiza yameongezeka kwa asilimia 65.5…

Read More

ACT-Wazalendo yazindua timu ya ushindi 2025

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa, Othman Masoud amezindua timu ya ushindi ya chama hicho kwa upande wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. Timu hiyo yenye wajumbe 15, inaongozwa na mwenyekiti Ismail Jussa ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa chama hicho upande wa Zanzibar. Pamoja na mambo mengine, timu hiyo itaandaa…

Read More

Pinda akerwa na minong’ono mitandaoni

Dar es Salaam. Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda ameeleza kukerwa na tetesi za mitandao ya jamii ilivyovumisha jina lake kuwa miongoni mwa wanaotajwa kuwa makamu mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara. Nafasi hiyo imeachwa wazi na Abdulrahman Kinana aliyeomba kustaafu Septemba 2024. Tayari chama hicho kimeshamtaja kada mkongwe Stephen Wasira kuwania nafasi hiyo. Akizungumza…

Read More

Mgaya atamani makubwa Coastal | Mwanaspoti

STRAIKA mpya wa Coastal Union, Ally Mgaya amesema anatamani kufanya makubwa akiwa katika kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Juma Mwambusi. Kabla ya kujiunga na Coastal nyota huyo aliichezea Fleetwoods United FC, inayoshiriki Ligi Daraja la Pili UAE. Nyota huyo alimaliza mkataba wa miaka miwili hivi karibuni na kabla ya kucheza Falme za Kiarabu aliwahi kutumikia…

Read More

Yanga yaanza na kikosi cha mabao mengi

KOCHA wa Yanga, Sead Ramovic ameamua kuiwekea MC Alger kikosi cha maangamizi akianza na washambuliaji watatu ambao wamekuwa wapo vizuri katika kucheka na nyavu na kusaidia mashambulizi. Muda mchache ujao, Yanga itashuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam kuvaana na wageni wao kutoka Algeria katika mchezo huo wa mwisho wa Kundi A…

Read More

Bwalya ana kiu kurudi Bongo

DILI la Rally Bwalya kutua Pamba Jiji limebuma baada ya viongozi wa Napsa Stars anayoichezea kumuwekea ugumu, huku mwenyewe akifunguka ameumia kushindwa kurejea kuja kucheza Ligi Kuu Bara. Kiungo huyo Mzambia aliyewahi kuichezea Simba, msimu huu alitua Napsa iliyopo Ligi Kuu ya nchini humo na amecheza nusu msimu kabla ya Pamba Jiji kuanza kuihitaji saini…

Read More