TANESCO YAZINDUA PROGRAMU BUNIFU YA UMEME

:::::::::::;; Na Mwandishi Wetu,  – Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, leo Oktoba 9, 2025, amezindua rasmi programu ya “Konekt Umeme, Pika kwa Umeme” inayotekelezwa na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), katika viwanja vya Mwembe Yanga, Wilaya ya Temeke. Akizungumza katika uzinduzi huo, Chalamila aliipongeza Wizara ya Nishati kwa…

Read More

Sayansi ilifahamisha Ufunguo wa Kitendo cha Sera kwa Uhifadhi wa Bioanuwai – Maswala ya Ulimwenguni

Dk. Luthando Dziba, Katibu Mtendaji, IPBES katika mazungumzo na IPS. Mikopo: Busani Bafana/IPS na Busani Bafana (Bulawayo, Zimbabwe) Alhamisi, Oktoba 9, 2025 Huduma ya waandishi wa habari BULAWAYO, Zimbabwe, Oktoba 9 (IPS) – Bioanuwai ya ulimwengu inapotea kwa kasi ya mapumziko na, kwa mchakato huo, ikitishia mustakabali wa ubinadamu. Hasara hiyo sio tishio la baadaye…

Read More

Mwinyi aahidi mikopo bila riba kwa wajasiriamali

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi amesema iwapo akirejea madarakani, Serikali yake itaweka mafungu makubwa ya kukopesha wajasiriamali bila riba ili wakuze biashara zao. Ametoa kauli hiyo leo Oktoba 9, 2025 wakati akizungumza na wajasiriamali katika ukumbi wa Abdulwakil, Mkoa wa Mjini Magharibi. “Katika awamu hii,…

Read More

Dakika 20 zinavyoweza kuokoa macho yako

Dar es Salaam. Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Macho leo, Oktoba 9, 2025 matumizi ya vifaa vya kielektroniki ikiwemo simu yametajwa kutishia usalama wa macho, huku wataalamu wa afya wakipaza sauti wakitaka Serikali ichukue hatua za haraka ili kunusuru hali mbaya inayoweza kujitokeza katika miaka michache ijayo na kulinda afya ya macho. Matumizi hayo ya…

Read More

 Serikali ilivyomaliza mgogoro wa wafanyakazi kiwanda cha Chai Rungwe, wenyewe kicheko

Dodoma/Mbeya. Serikali imewahakikishia wafanyakazi wa Kiwanda cha Wakulima Tea Company (Watco), kilichopo wilayani Rungwe, mkoani Mbeya, kuwa watalipwa stahiki zao na kurejea kazini. Aidha, imeeleza kuwa kiwanda hicho kinatarajiwa kurejea katika uzalishaji ndani ya kipindi cha miezi mitatu kuanzia sasa. ‎Hatua hiyo, inakuja baada ya wafanyakazi wa kiwanda hicho kuandamana kwa mabango Oktoba 2, 2025…

Read More