Wanawake 22 wapandikizwa mimba Muhimbili
Dar es Salaam. Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema jumla ya wanawake 22 wapo katika hatua mbalimbali za upandikizaji mimba Vitro Fertilization (IVF) hospitalini hapo. Hatua hiyo inakuja miezi 16 ikiwa imetimia, tangu Muhimbili kuanzisha rasmi kitengo cha upandikizaji mimba. Kwa mara ya kwanza, Muhimbili ilianza upandikizaji wa vijusi kwenye tumbo la mama wiki ya…