Ambundo ajiandaa kurejea Dodoma Jiji

ALIYEKUWA winga wa Fountain Gate, Dickson Ambundo anakaribia kurejea tena Dodoma Jiji, licha ya awali mabosi wa Mbeya City kufanya mazungumzo na nyota huyo na suala la masilahi binafsi ndilo lilifanya pande hizo kushindwana. Ambundo aliyemaliza mkataba wake na Fountain Gate huku kukiwa hakuna mazungumzo ya kuongeza mwingine, alikuwa akiongea na Mbeya City kwa ajili…

Read More

Kumekucha! Aucho aliamsha Singida Black Stars

AWALI ilielezwa kiungo raia wa Uganda, Khalid Aucho alikuwa mbioni kumfuata swahiba wake, Kennedy Musonda huko Israel alikoenda kucheza soka la kulipwa baada ya kumaliza mkataba na Yanga, lakini mwamba huyo alibadilisha gia angani. Aucho aliyeitumikia Yanga kwa misimu minne mfululizo, alimaliza mkataba…

Read More

Haya hapa yanayomsubiri Dk Migiro ofisi ya Katibu Mkuu

Dodoma/Dar. Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) kikimtangaza Balozi Dk Asha-Rose Migiro kuwa Katibu Mkuu wake mpya, wadau mbalimbali wametaja majukumu makubwa yanayomsubiri kiongozi huyo, likiwamo la kuirejesha imani ya chama hicho kwa wanachama na wananchi wasio wanachama. Miongoni mwa mambo yanayobainishwa kama kibarua kikubwa kwa Dk Migiro ni namna ya kwenda sambamba na kasi ya…

Read More

CHAN 2024: Kocha Senegal afichua siri ya ushindi

KOCHA wa Senegal, Souleymane Diallo ameeleza maandalizi ya kisaikolojia kwa wachezaji wake na umakini katika utumiaji nafasi vilikuwa nguzo kuu ya ushindi wa timu yake dhidi ya Uganda katika mechi ya robo fainali ya mashindano ya CHAN 2024. Senegal ambao ni mabingwa watetezi wa mashindano hayo, walihitimisha safari ya timu ya mwisho ya ukanda wa…

Read More

Mavunde ataka viongozi waombewe | Mwananchi

Dodoma. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amewataka Watanzania kuwaombea viongozi wa nchi kuelekea kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu. ‎Uchaguzi mkuu wa kuwapata Rais, wabunge na madiwani unatarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. ‎Mavunde ametoa kauli hiyo leo Jumapili Agosti 24, 2025 jijini Dodoma kwenye harambee ya kuchangia ujenzi wa Kanisa la Anglikana la Mtakatifu Petro (St….

Read More

Algeria Poised to Fulfill Its African Ambition

By Moses Ntandu Algeria is expecting to host a huge African trade fair known as the Intra-African Trade Fair (IATF, intending to shine the Africa all over the world. The fair will be of four days commencing from September 4th to 10th, where by the the Algerian capital will become the epicenter of African trade. …

Read More

Kriketi Tanzania yapania Kombe la Dunia T20

TIMU ya Taifa ya Kriketi ya Tanzania, imeanza mkakati wa kuitafuta tiketi ya kucheza kombe la dunia ya mizunguko 20 (T20) inayoanza mwishoni wa juma, mjini Windhoek, Namibia. Tanzania iliibuka na ubingwa wa michuano ya kumbukumbu ya Kwibuka nchini Rwanda, baada ya kuifunga Zimbabwe katika fainali, huku Uganda ikishika nafasi ya tatu. Ikiwa na wachezaji…

Read More