Ushirikiano Utatu Tanzania na China wazindua Kituo cha Mafunzo ya Ustadi wa Kitaalamu
Na Mwandishi Wetu Chuo Kikuu cha Ardhi, Taasisi ya Ufundi ya Chongqing (CQVIE) kutoka nchini China, pamoja na Kampuni ya ujenzi ya Kichina nchini ya Group Six International Ltd, wamezindua Kampasi ya Chuo Kikuu cha Ardhi ili kuanzisha kituo cha Mafunzo ya Ustadi wa kitaalamu cha Kichina. Uzinduzi huo umefanyika mwishoni mwa Novemba mwaka huu…