Maswa yapitisha bajeti Sh47.2 bilioni

Maswa. Baraza la madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, limepitisha Sh47.2 bilioni kama rasimu ya bajeti ya maendeleo kwa mwaka wa fedha 2025/26. Hayo yamebainika leo Jumamosi Januari 18, 2025katika kikao hicho cha bajeti kilichofanyika Maswa. Mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Simon Maige ametoa wito kwa madiwani kusimamia vizuri miradi inayoendelea kutekelezwa katika…

Read More

Baraza la Usalama lilitoa muhtasari juu ya changamoto za ulinzi wa amani huko Lebanon, Syria – Masuala ya Ulimwenguni

Naibu Katibu Mkuu wa Operesheni za Amani Jean-Pierre Lacroix aliungana na Meja Jenerali Patrick Gauchat, Mkuu wa Shirika la Usimamizi wa Udhibiti wa UN (UNTSO) ambaye anasimamia kwa muda kikosi cha Umoja wa Mataifa huko Golan, FUNGUA. Kwa sasa Bw. Lacroix yuko nchini Lebanon, ambako kuna kikosi cha Umoja wa Mataifa nchini humo UNIFILhufuatilia mpaka…

Read More

Samia aonya makundi kuelekea uchaguzi mkuu

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amewaonya wanachama wa chama hicho kujiepusha na makundi na kampeni za mapema katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu. Samia amesema hayo leo Jumamosi Januari 18, 2025 katika mkutano mkuu wa CCM unaoendelea jijini Dodoma ukilenga kuziba nafasi ya…

Read More

Wasira ateuliwa kumrithi Kinana CCM | Mwananchi

Dar es Salaam. Mwanasiasa mkongwe aliyewahi kushika nyadhifa mbalimbali katika Serikali na Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira ameteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho (Bara). Wasira ambaye jina lake limewasilishwa mbele ya mkutano mkuu wa CCM unaoendelea jijini Dodoma leo Januari 18, 2025, limepata baraka za Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC)…

Read More

Sababu tatu za ushindi Yanga

Yanga kwa namna yoyote ile inatakiwa kupata ushindi katika mechi yake ya mwisho ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya MC Alger leo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, kuanzia saa 10:00 jioni. Sababu tatu zinailazimisha Yanga kupata ushindi leo ambazo ni kufuzu robo fainali ya mashindano hayo, kulipa kisasi na kumaliza…

Read More

Sasa kunachangamka! Mzize dau limepanda

YANGA inashuka uwanjani jioni ya leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam kukabiliana na MC Alger ya Algeria katika mechi ya mwisho ya Kundi A ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku thamani ya mshambuliaji wa timu hiyo, Clement Mzize ikizidi kupanda. Mzize anayeongoza kwa mabao kwa Yanga katika msimu huu hadi sasa,…

Read More

Pacome amaliza utata Yanga | Mwanaspoti

MASHABIKI wa Yanga tangu juzi wamekuwa na presha kutokana na kutoonekana mazoezini kwa kiungo mshambuliaji nyota wa timu hiyo, Pacome Zouzoua wakati zikibakia saa chache kabla ya kuvaana na MC Alger ya Algeria, lakini nyota huyo ameibuka na kumaliza utata utata huku akitoa kauli ya kibabe. Yanga inajiandaa kushuka uwanjani jioni ya leo Jumamosi kuvaana…

Read More

LIVE: Dodoma ya kijani mkutano mkuu CCM

Dar es Salaam. Kumekucha Dodoma ndivyo unaweza kuelezea jiji hili kwa sasa wakati huu Chama cha Mapinduzi (CCM) kikifanya mkutano mkuu wake. Mitaa mbalimbali ya Jiji la Dodoma imepambwa kwa bendera za CCM na picha za mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan. Dodoma ya kijani mkutano mkuu CCM Viongozi wa chama na Serikali, wanachama, makada…

Read More