Polisi: Matukio ya mauaji yameongezeka, udhalilishaji ukipungua

Unguja. Wakati makosa ya udhalilishaji na ulawiti yakielezwa kupungua Zanzibar kwa Januari hadi Desemba, 2024 kwa asilimia 12.8, ya mauaji yameongezeka kwa asilimia 50 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka 2023. Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Zuberi Chembela amesema makosa 164 dhidi ya binadamu, hususani ya kubaka na kulawiti yamepuungua. Kwa mujibu…

Read More

ZEC kuandikisha wapigakura wapya 78,922

Unguja. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), inatarajia kuandikisha wapigakura wapya 78,922 waliotimiza umri wa miaka 18 kwa mujibu wa takwimu ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 katika uandikishaji wapigakura awamu ya pili kwa mwaka huu wa 2025. Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji George Kazi ametoa kauli hiyo leo Januari 17, 2025 alipofungua…

Read More

Siha yaandikisha wanafunzi 5,483 darasa la awali na la kwanza

Siha. Mkuu wa Wilaya ya Siha, mkoani Kilimanjaro, Dk Christopher Timbuka amesema mpaka Januari 15, mwaka huu jumla ya wanafunzi 2,819 kati ya 3,323 wameandikishwa darasa la kwanza wilayani humo. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Ijumaa, Januari 17, 2025, Dk Timbuka amesema Serikali imejipanga kuhakikisha wanafunzi wote walioandikishwa darasa la awali, la kwanza na kidato…

Read More

MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI MIKOA YA MTWARA, LINDI NA RUVUMA YAFUNGULIWA LEO

Mwenyekiti wa tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Rufani, Mhe. Jacobs Mwambegele akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Waratibu wa Uandikishaji wa mkoa, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi, Maafisa Ugavi na Maafisa TEHAMA wa halmashauri yaliyoanza leo tarehe 17 hadi 18 Januari, 2025 Mkoani Mtwara ambapo amewataka watendaji…

Read More

Kiungo Mbongo apewa mwaka Azerbaijan

KIUNGO wa kimataifa wa Tanzania, Alphonse Mabula aliyekuwa akicheza FK Spartak Subotica ya Serbia, amejiunga na Shamakhi FK inayoshiriki Ligi Kuu Azerbaijan kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu. Mabula ambaye ana umri wa miaka 21, amesaini mkataba huo baada ya fursa ya usajili kuja wakati wa mapumziko ya majira ya baridi. Akizungumza kuhusu safari…

Read More

Banda ataja kilichompeleka Dodoma Jiji

WAKATI usajili wa Abdi Banda kutoka Sauzi kutimkia Dodoma Jiji ukiendelea kuwa gumzo, beki huyo mzawa ameeleza sababu za kurejea nyumbani. Banda aliyewahi kuichezea Simba akitokea Coastal Union, kisha kutimkia Baroka FC ya Sauzi na kukipiga Mtibwa Sugar kabla ya kusajiliwa Dodoma akipewa mkataba wa miezi sita, alikuwa Baroka aliyoirudia baada ya kuzunguka klabu kadhaa…

Read More

Adam, Athuman kufukia mashimo TZ Prisons

KOCHA wa Tanzania Prisons, Amani Josiah amesema mapumziko ya Ligi Kuu Bara yamemsaidia kupata muda wa kuwaangalia wachezaji wanahitaji mazoezi ya aina gani, lakini majembe mapya kikosini yatafukia mashimo. Kocha huyo aliyetua kikosini akitokea Geita Gold iliyopo Ligi ya Championship, alisema kitu kikubwa alichofanyia kazi ni utimamu wa miili kwa wachezaji pamoja na mambo ya…

Read More