PIRAMID YA AFYA: Kutopenda kula inaweza kuwa tatizo la kiakili

Mara nyingi tumekuwa tukiona tatizo la kutopenda kula zaidi nyakati za utotoni, lakini kumbe tatizo hili linaweza kujitokeza ukubwani, chanzo kikiwa tatizo la kisaikolojia au kiakili. Anorexia Nervosa ni ugonjwa wa akili unaosababisha muathirika kuwa na hofu kali ya kupata uzito au unene, hivyo kupoteza hamu ya kula kabisa, hatimaye kupoteza uzito mwingi unaohatarisha afya…

Read More

Azimio la Baraza la Usalama la Libya, ahueni ya kimbunga nchini Msumbiji, virusi vya Marburg nchini Tanzania, sheria za kukabiliana na ugaidi nchini Türkiye – Masuala ya Ulimwenguni

Azimio hilo lililoidhinishwa na Uingereza lilipitishwa kwa kura 14 na hakuna iliyopinga – mjumbe wa kudumu wa Baraza Urusi ilijizuia. Inatanguliza masharti mapya kuhusu vikwazo vya silaha na hatua za kuzuia mali zilizowekwa mwaka 2011 kufuatia kupinduliwa kwa mtawala wa muda mrefu Muammar Gaddafi. Pia inaweka kigezo kipya cha kuorodhesha kinacholenga watu binafsi na taasisi…

Read More

Wafanyakazi wanavyoweza kudhibiti maradhi ya kisukari

Ugonjwa wa kisukari unahitaji udhibiti wa makini wa lishe, kwani chakula kinachochaguliwa na jinsi kinavyoliwa kinaweza kuwa na athari kubwa kwa kiwango cha sukari mwilini. Hivyo basi, kwa wafanyakazi wenye kisukari wanapaswa kuwa na mpango wa lishe ili kudhibiti hali hii na kuendelea kuwa na afya bora. Mpango huu unahusisha kula milo mikuu mitatu kwa…

Read More

Ukweli kuhusu mwanamke kuchelewa ukomo wa hedhi

Dar es Salaam. Ukomo wa hedhi (menopause) ni kipindi cha maisha ya mwanamke kinachotokea afikiapo umri wa miaka kati ya 45 hadi 55, japo wapo wanaoweza kupata mapema au kwa kuchelewa. Hali hii husababisha kupungua kwa uzalishaji wa homoni za oestrojeni na progesterone, jambo linalosababisha mabadiliko mengi ya kiafya na tabia. Kisayansi oestrojeni ni homoni…

Read More

Dhana potofu uzazi wa mpango na ukweli wake

Dar es Salaam. Uzazi wa mpango ni uamuzi wa hiari wa mtu binafsi mke/mume au mtu na mwenzi wake kuhusu lini waanze kupata watoto, wazae wangapi, wapishane kwa muda gani, lini waache kuzaa na njia gani ya uzazi wa mpango wangependa kutumia. Matumizi ya kondomu, vipandikizi, sindano, vidonge, kitanzi na kutoshiriki ngono siku za hatari…

Read More

Winga mpya apewa mechi zake

YANGA imekamilisha usajili wa mshambuliaji anayemudu pia kucheza winga zote, Jonathan Ikangalombo kutoka AS Vita, lakini taarifa ni kwamba nyota huyo mpya ametengenewa kucheza mechi za ndani tu za Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA) huku zile za kimataifa atakuwa mpenzi mtazamaji tu. Ndio, Yanga imemsajili mchezaji huyo kwa mkataba wa miaka miwili,…

Read More

CCM yakerwa ujenzi wa barabara kusuasua Geita

Geita.  Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Geita, kimekerwa na kasi ndogo ya ujenzi wa barabara za mradi wa Tactic zenye urefu wa kilomita 17 zinazojengwa kwa kiwango cha lami katika Manispaa ya Geita kwa gharama ya Sh22.5 bilioni ambazo ni mkopo kutoka Benki ya Dunia (WB).  Barabara zinazojengwa ni  Mkolani Mwatulole ambayo ujenzi wake…

Read More