Mastaa Simba wana jambo lao Kwa Mkapa

KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua kwa ajili ya mchezo wa mwisho wa Kundi A katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku wachezaji wa timu huo wakitoa msimamo mzito kabla ya kushuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam kuvaana na CS Constantine ya Algeria. Wachezaji hao wamekiri wanajua watalikosa vaibu la mashabiki…

Read More

WHO yazindua rufaa ya dola bilioni 1.5 ili kukabiliana na majanga ya afya duniani – Masuala ya Ulimwenguni

Kwa kujibu, Shirika la Afya Duniani (WHO) ni wito kwaDola bilioni 1.5 kupitia Rufaa yake ya Dharura ya Afya ya 2025, ili kutoa afua za kuokoa maisha ulimwenguni kote. Rufaa hiyo, ilizinduliwa Alhamisi na Mkurugenzi Mkuu wa WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus, anaelezea vipaumbele vya dharura vya kushughulikia dharura 42 za afya zinazoendelea, ikijumuisha 17 inayohitaji…

Read More

Yanga, mtego wa waarabu upo hapa!

YANGA inatarajiwa kushuka uwanjani kesho Jumamosi katika mchezo ulioshikilia hatma ya kwenda robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara ya pili mfululizo na ikichemsha kwa kutoka sare ya kufungwa maana yake itaondolewa michuano ya CAF na kusalia mechi za Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA).

Read More

Israeli na Palestina Zapata Makubaliano ya Kusimamisha Vita Baada ya Miezi 15 ya Mizozo – Masuala ya Ulimwenguni

UNICEF ikisaidia katika juhudi za kuweka majira ya baridi kali huko Deir Al Balah kwa kusambaza nguo za majira ya baridi kwa familia katika makazi ya watu waliohama. Credit: UNICEF/Mohammed Nateel na Oritro Karim (umoja wa mataifa) Alhamisi, Januari 16, 2025 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Jan 16 (IPS) – Makubaliano ya kusitisha mapigano…

Read More

Polisi waimarisha ulinzi uchaguzi Bawacha usiku

Hatimaye Askari wa Jeshi la Polisi wamewasili katika Ukumbi wa Ubungo Plaza, kuimarisha ulinzi. Kuwasili kwa askari hao, kunakuja muda mfupi baada ya kushuhudiwa vurugu katika mkutano mkuu wa uchaguzi wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha). Vurugu hizo zilikuwa kati ya wafuasi wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na…

Read More

Vurugu zazuka nje ya ukumbi wa uchaguzi Bawacha

Dar es Salaam. Katika hali isiyokuwa ya kawaida, ugomvi wa ngumi umezuka nje ya Ukumbi wa Ubungo Plaza unapofanyika mkutano wa uchaguzi wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha). Ugomvi huo ulikuwa kati ya wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu dhidi ya wafuasi wa Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe….

Read More

Wananchi Ubungo walilia barabara | Mwananchi

Dar es Salaam. Baadhi ya wananchi wa Mpigi Magohe, Wilaya ya Ubungo wameikumbusha Serikali kutekeleza ahadi ya ujenzi wa barabara ya Mbezi Victoria kwa kiwango cha lami iliyotoa ili kuwaondolea adha ya usafiri inayowasumbua. Ahadi ya ujenzi wa barabara hiyo yenye urefu wa kilomita 9.55 yenye kero hususan nyakati za mvua ilitolewa Mei 2024 na…

Read More

Maandalizi ya mkutano mkuu CCM yapamba moto

Dodoma. Wakati maandalizi ya mkutano mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), yakipamba moto jijini Dodoma yakiwamo maeneo ya katikati ya jiji kupambwa na bendera za chama hicho, nyumba nyingi za kulala wageni zimejaa kwa siku tatu mfululizo. Mkutano huo utakaofanyika Januari 18 na 19, 2025 katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Convention Center, utafanya…

Read More