Watatu kortini kwa tuhuma za uzembe, uzururaji Dar

Dar es Salaam. Wakazi watatu wa jijini hapa, wamefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, kujibu shitaka la uzembe na uzururaji. Washtakiwa hao ni Juma Khamisi (20), Abubakari Gidamanonga (32) na Kaiza Tibangayuka (38). Washtakiwa hao wamefikishwa Mahakamani hapo leo Alhamisi Januari 16, 2025 na kusomewa shitaka lao na karani Aurelia Bahati, mbele ya Hakimu Gladness…

Read More

Wezi wavamia waiba kichanga | Mwananchi

Kibaha. Watu ambao hawajafahamika wamevamia nyumbani kwa mkazi wa Kibaha kwa Mfipa Mkoa wa Pwani Melkisedeck Sostenes na kupora gari, pesa na vitu mbalimbali kisha kuwatumbukiza wamiliki wa nyumba kwenye chemba za vyoo. Watu hao wanaodaiwa kutekeleza tukio hilo saa 12 asubuhi pia wanadaiwa kuondoka na mtoto mchanga mwenye umri wa miezi saba ambaye ni…

Read More

Waliovamia hifadhi ya Iluma kuondoka kwa hiari

Ulanga. Mkuu wa wilaya ya Ulanga, Dk Julius Ningu amesema hatua ya  kuwaondoa wananchi waliovamia eneo la hifadhi ya jamii ya Iluma iliyopo kijiji cha Mbuyuni kata ya Minepa wilayani humo limefanikiwa kwa kiasi kikubwa bila ya kutumia nguvu kubwa ya vyombo vya dola. Akizungumza na Mwananchi, Dk Ningu amesema kabla ya kutoa agizo la…

Read More

Jinsi Mianya Iliyofichwa Huchochea Ufisadi na Kutokuwa na Usawa – Masuala ya Ulimwenguni

Transparency International ilifichua matokeo ya kutisha mnamo Desemba 2024 kuhusu utoroshaji wa fedha za umma barani Afrika. Mkopo: Shutterstock na Baher Kamal (madrid) Alhamisi, Januari 16, 2025 Inter Press Service MADRID, Jan 16 (IPS) – Sio siri tena kwamba katika mikutano mikuu ya kimataifa kuna washawishi zaidi kuliko wajumbe rasmi. Huko, wanashiriki kama 'wageni,' na…

Read More

Uru Shimbwe walia ubovu wa barabara

Moshi. Wananchi wa Kata ya Uru Shimbwe, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia ubovu wa miundombinu ya barabara ya Mamboleo – Shimbwe, hali ambayo imekuwa ikiwapa changamoto kubwa ya usafiri na usafirishaji wa bidhaa mbalimbali kwenda masokoni kipindi cha mvua. Wananchi hao wanaojishughulisha na kilimo cha ndizi, viazi pamoja na matunda kama  pasheni, parachichi na…

Read More