MGEJA AWATAKIA HERI WANA CCM MKUTANO UNAOTARAJIA KUFANYIKA DODOMA

Na Mwandishi Wetu, MWANASIASA mkongwe na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Khamis Mgeja, amewatakia heri wana-CCM katika mkutano mkuu wa kushika mikoba ya aliyekuwa Makamu Mwenyekiti, Abdulahman Kinana. Akizungumza leo Januari 16, 2025 jijini Dar es Salaam, amesema kuwa shauku kubwa ya wana-CCM ni kumpata Makamu Mwenyekiti atakayemsaidia mwenyekiti wa chama ambaye…

Read More

Ahueni kwa Wakulima wa Marekani Walioathiriwa na PFAS – Masuala ya Ulimwenguni

Dutu za PFAS ni kemikali zinazotengenezwa na binadamu ambazo zina kansa ambazo huathiri binadamu kwa kuvuta pumzi na kuambukizwa. Mkopo: Shutterstock. Maoni na Stan Gottfredson (san diego, California, sisi) Alhamisi, Januari 16, 2025 Inter Press Service SAN DIEGO, CALIFORNIA, Marekani, Jan 16 (IPS) – Matumizi ya mbolea yameanzishwa katika jamii ili kurutubisha udongo na kutoa…

Read More

Tanzania ishindwe yenyewe tu CHAN 2025

DROO ya mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (Chan) 2024, itakayofanyia Agosti mwaka huu, imefanyika juzi huku Tanzania ikiangukia kundi ‘B’ na timu za Mauritania, Madagascar, Burkina Faso na Jamhuri ya Afrika ya Kati. Katika droo hiyo iliyochezeshwa juzi katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta Kenya, ‘Kenyatta International Convention Centre’…

Read More

Azam FC yachomoa watano kikosini

WAKATI dirisha dogo la usajili likifungwa usiku wa jana, timu ya Azam imeondoa nyota watano ndani ya kikosi hicho, huku watatu wakitolewa kwa mkopo na wawili wakipewa mkono wa kwaheri. Nyota walioachwa ni beki wa kati na kiungo, Yannick Bangala aliyeamua kurejea timu yake ya zamani wa AS Vita Club ya DR Congo, huku mwingine…

Read More

Watatu mbaroni tuhuma za kuwauzia wakulima mbegu feki

Njombe. Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa kushirikiana na Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu (TOSCI), limefanikiwa kuwakamata watu watatu wanaotuhumiwa kuwauzia mbegu feki wananchi katika kijiji cha Kidugala wilayani Wanging’ombe. Hayo yamesemwa leo Alhamisi Januari 16, 2025 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Che Malone ajitathmini vinginevyo

BEKI wa kimataifa ambaye timu inatumia gharama kubwa za fedha kumleta hapa nchini kisha kumhudumia, hatakiwi kufanya makosa ya kizembe ambayo yana athari kwa timu yake. Ndio kama tunavyoamini hapa kijiweni hasa kwa beki kama Che Fondoh Malone ambaye Simba ilitumia mzigo wa kutosha kumchomoa kule Cameroon katika timu ya Cotonsport kuja hapa nchini. Wakati…

Read More

Wajumbe Bawacha walia na posho

Dar es Salaam. Muda mchache kabla ya kuanza kwa mkutano mkuu wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) wajumbe wa mkutano huo wamepaza sauti ya kuhitaji posho zao kabla ya mchakato huo. Hali hiyo inajiri muda mchache baada ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kuwasili kwenye viunga vya Ubungo Plaza jijini…

Read More