
RAIS SAMIA AONGOZA BARAZA MAWAZIRI IKULU CHAMWINO JIJINI DODOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino, Mkoani Dodoma leo tarehe 16 Januari, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino, Mkoani Dodoma leo tarehe 16 Januari, 2025.
KUCHEZA kasino sio lazima ufike kwenye maduka la kasino yaliyopo mtaani, Meridianbet imerahisisha kazi yako, kupitia kasino ya mtandaoni utapata wasaa wa kucheza michezo ya sloti na kasino kirahisi kabisa. Mchezo wa kasino ya mtandaoni. Lucky Betting Shop ni mashine ya sloti inayofurahisha na kukupa zawadi kedekede kwenye michezo. Kumbuka, sio ubashiri wa kasino ya…
Dar es Salaam. Katika kuendana na soko la ajira linalohitaji rasilimali watu wenye ujuzi wa kisasa ikiwemo teknolojia, mradi mahususi wa kuwajengea uwezo wanafunzi wa vyuo vikuu umeanzishwa, ili kuwawezesha kushindana kwenye soko hilo. Mradi huo uitwao (Generation Empower) ulioanzishwa na Taasisi ya Empower Limited una lengo la kuwawezesha vijana wa Tanzania kiujuzi ili kuziba…
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema, Mkoa wa Katavi, Rhoda Kunchela amesema uadilifu, uwazi na misimamo ya kupinga vitendo vya rushwa ni sababu inayomsukuma kumuunga mkono, Tundu Lissu kuwania uenyekiti wa chama hicho. Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti-Bara wa chama hicho ni miongoni mwa wagombea wa nafasi ya uenyekiti wa Chadema akichuana na wagombea wengine…
MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imejipanga kutekeleza mikakati yenye lengo la kuhakikisha kunakuwa na uendelevu wa kusimamia Sekta ya Usafiri wa Anga nchini kwa sasa na baadaye. Hayo yalibainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Bw. Salim Msangi wakati akiwasilisha mikakati hiyo mbele ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu Januari 15, 2024…
Na. Saidina Msangi na Asia Singano, WF, Dodoma Serikali imesema kuwa itaendelea kushirikiana na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), na kuhakikisha Fedha zote za maendeleo zinazotolewa na Shirika hilo zinatumika kukamilisha azma ya kukuza uchumi wa nchi. Hayo yameelezwa na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), jijini Dodoma wakati akimuaga Kiongozi…
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limemteua mwamuzi Ahmed Arajiga na wenzake watatu kuchezesha mechi ya Kundi B Kombe la Shirikisho Afrika kati ya RS Berkane ya Morocco na Stellenbosch ya Afrika Kusini itakayopigwa Jumapili ya Januari 19. Timu zote mbili tayari zimefuzu hatua ya robo fainali, Berkane ikiwa kinara wa kundi hilo baada ya kukusanya…
Na Khadija Khamis, WHVUM Msaidizi Meneja Kitengo cha Maradhi yasioambukiza (NCDs UNIT) kutoka Wizara ya Afya Zanzibar, Zuhura Saleh Amour amewataka Wananchi kuchukuwa tahadhari kutokana na ongezeko la maradhi ya saratani Nchini. Ameyasema hayo wakati wa Mafunzo kwa Maafisa Mipango wa Wizara mbali mbali za Serikali, yaliofanyika hivi karibuni katika kituo cha Afya ya uzazi…
ADHABU ya mechi nane alizoadhibiwa Kocha Mkuu wa timu ya taifa, Taifa Stars, Adel Amrouche kwa kosa la kutoa shtuma nzito dhidi Shirikisho la Soka la Morocco (RMFF) ni kama imeisha, lakini kumekuwa na ukimya juu ya hatma ya kocha huyo ndani ya kikosi hicho cha timu ya Tanzania. Kocha huyo raia wa Algeria aliadhibiwa…
Maombi yanakaribishwa kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uzoefu unaofaa ili kujaza nafasi ya kazi kwa mkataba wa mwaka 1 (unaoweza kurefushwa mara moja) katika Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE). Chuo cha Elimu ya Biashara kilianzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Bunge, Sheria Na. 315 R.E 2002. CBE ni Taasisi ya…