Sababu CAF kusogeza mbele Chan

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetangaza kusogeza mbele fainali za mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani (Chan) 2024 zilizokuwa zifanyike Tanzania, Kenya na Uganda kuanzia Februari Mosi hadi Februari 28, 2025. Taarifa iliyotolewa na CAF leo Jumanne, Januari 14, 2025 imeeleza kuwa kuahirishwa kwa Chan ni kutoa muda wa kukamilisha miundombinu kwa…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Kabla ya kuwateua chunguza

Hakuna hata mmoja aliyekamilika katika idara zote, isipokuwa Mwenyezi Mungu. Ndiyo maana familia ina baba, mama na watoto. Timu ya mpira wa miguu inaundwa na watu tofauti, wakiwemo makipa, walinzi, viungo na washambuliaji. Serikali nayo inaundwa na wanasiasa, watendaji, wasimamizi na idara nyingine. Yote hayo ni kuhakikisha mawazo tofauti yanatumika kujenga. Ipo hadithi ya mfalme…

Read More

PROF. KABUDI AHIMIZA MATUMIZI YA KAMUSI YA KISWAHILI SHULENI

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi akipokea kamusi ya Lugha ya Kiswahili kwa shule za msingi kutoka kwa Katibu Mtendaji wa BAKITA, Consolata Mushi. WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, amewahimiza Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) kuchukua hatua madhubuti katika kuhakikisha Kamusi ya Kiswahili inatumika ipasavyo shuleni ili…

Read More

Polisi yawasaka walioiba kwenye Toyota Alphard jijini Arusha – Video – Global Publishers

ARUSHA-Jeshi la Polisi mkoani Arusha linafanya uchunguzi na kuwatafuta watu wote waliohusika katika tukio la wizi ndani ya gari aina ya Toyota Alphard lenye namba za usajili T. 340 EJR, kama inavyoonekana katika picha zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Januari 14, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Kamishna Msaidizi…

Read More

Pesa zinazotumwa na Fedha dhidi ya Ufadhili Mtazamo wa Watendaji wa Maendeleo – Masuala ya Ulimwenguni

Pesa zinazotumwa hutoa kitu ambacho uhisani hauwezi: uhuru. Familia zinazopokea pesa huamua jinsi bora ya kutenga fedha hizo, kulingana na mahitaji yao muhimu zaidi. Mkopo: Shutterstock Maoni by Tafadzwa Munyaka (harare) Jumanne, Januari 14, 2025 Inter Press Service HARARE, Jan 14 (IPS) – Katika Afŕika kote, mageuzi ya kiuchumi na maendeleo yanachochewa na mikondo miwili…

Read More

Matumaini wawekezaji kutoka Japan wakitua Tanzania

Dar es Salaam. Kampuni 20 za uwekezaji kutoka nchini Japan zimekuja Tanzania kuangalia fursa za uwekezaji katika maeneo ya kilimo, utalii na sekta ya uzalishaji viwandani ikiwa ni sehemu ya kuimarisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili. Kampuni hizo zimekutana na nyingine 50 za Kitanzania kwa lengo la kubadilishana uzoefu, teknolojia sambamba na kufanya biashara…

Read More