Uchaguzi Chadema panachimbika | Mwananchi

Dar es Salaam. Patachimbika ndilo neno linaloakisi uhalisia wa joto linaloendelea kufukuta katika uchaguzi wa viongozi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kati ya miamba miwili Freeman Mbowe na Tundu Lissu wanaowania uenyekiti wa chama hicho. Nguvu zao kisiasa ndani na nje ya Chadema zimeendelea kujidhihirisha katika uchaguzi wa mabaraza ya vijana (Bavicha)…

Read More

CCM waomba wapigadebe stendi ya Nyegezi waondolewe

Mwanza. Baadhi ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Nyegezi jijini Mwanza wameziomba mamlaka husika kuwaondoa wapigadebe katika Stendi Kuu ya Mabasi Nyegezi kwa madai kuwa uwepo wao unachangia kuongezeka kwa vitendo vya uhalifu, ikiwemo wizi. Ombi hilo limetolewa leo Jumatatu, Januari 13, 2025, katika kikao cha CCM Kata ya Nyegezi kilichokuwa kikijadili…

Read More

Shindano la Expanse Tournament ni hatari Januari hii

FUNGUA mwaka kibabe na Meridianbet kupitia shindano kubwa la kibabe la michuano ya Expanse Kasino ambapo utaweza kujishindia kitita cha kutosha kupitia shindano hili ambalo litahusisha michezo ya kasino ambayo itadumu kwa siku kumi. Meridianbet wamekuja na shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha milioni moja…

Read More

Bodi ya Korosho kutumia BBT kufikia malengo

Lindi. Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) imeendesha mafunzo kwa vijana na maofisa kilimo 150 kutoka Mkoa wa Lindi kupitia programu ya “Jenga Kesho Ilio Bora” (BBT), lengo likiwa ni kuongeza uzalishaji wa korosho nchini ili kufikia malengo ya Serikali ya kuzalisha tani milioni moja ifikapo mwaka 2030. Akizungumza na Mwananchi leo Jumatatu, Januari 13, 2025,…

Read More

BSL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USALAMA BARABARANI ZINGA

Afisa Utawala Kiwanda Cha Bagamoyo Sugar Limited Ibrahim Juma Mohammed  akimkabidhi  Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo  Shaibu Ndemanga  (kulia) vikoti vya kuakisi mwanga 80 ambavyo vitatumiwa na Jeshi la Polisi Barabarani katika Kata ya Zinga makabidhiano hayo yamefanyika  leo  tarehe 13,Januari 2025. Wanafunzi wa Shule mbalimbali  zilizopo Kata ya Zinga wakimsikiliza kwa makini Sgt.Otilia Ponera…

Read More

Chato kunufaika na mazao ya misitu miaka 10 ijayo

Mufindi. Wananchi wa Wilaya ya Chato, Mkoa wa Geita, wametakiwa kujiandaa kufurahia matokeo ya mazao ya misitu kupitia shamba la miti la Silayo lililopo wilayani humo, huku Serikali ikilenga kuimarisha uchumi wa eneo hilo. Akizungumza leo Jumatatu, Januari 13, 2025, baada ya ziara ya mafunzo katika Shamba la Miti la Sao Hill, Wilaya ya Mufindi,…

Read More

Waziri Ulega atoa maagizo ERB

Morogoro. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameitaka Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) nchini kuweka mfumo madhubuti wa ufuatiliaji wa shughuli mbalimbali za kiuhandisi, hasa katika miradi ya maendeleo, ili kuhakikisha ufanisi katika utekelezaji wa kazi zao. Akifungua baraza la wafanyakazi wa bodi hiyo, lililokutana mkoani Morogoro kujadili masuala mbalimbali, Ulega ameeleza kuwa wahandisi ni…

Read More

Shule zafunguliwa kwa muitikio mkubwa, wanaume wanyoshewa kidole

Dar/Mikoani. Wakati shule za msingi na sekondari nchini zikifunguliwa kwa muitikio mkubwa, baadhi ya wazazi na walezi wameeleza changamoto za kiuchumi zinazoathiri ununuzi wa vifaa vya shule, huku kina baba wakihimizwa kushirikiana kikamilifu na watoto wao hususan wanaoanza masomo kwa mara ya kwanza. Hali hii inatokana na idadi kubwa ya wanafunzi walioandikishwa kwenye shule mbalimbali…

Read More