
Mnyika atoa onyo Chadema, 300 wajitosa uongozi
Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika amesema iwapo kuna kiongozi, mwanachama au mgombea anatuhumiwa kukiuka miongozo ya uchaguzi, taarifa ya malalamiko yawasilishwe rasmi kwa mamlaka ili kudhibiti changamoto hiyo. Mnyika amesema hayo leo Jumanne, Januari 7, 2025 wakati akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya Chadema,…