Waliokaidi ukaguzi magari ya shule wakamatwa, wananchi waombwa kulinda kundi Jipya la watumiaji wa Barabara.

Na. Mwandishi Jeshi la Polisi Arusha. Jeshi la Polisi kikosi cha usalama Barabarani kimesema kuwa baada ya kuhitimisha zoezi la ukaguzi wa magari ya shule(School Bus) kwa kipindi cha likizo ambacho kilitangazwa ili kuondoa usumbufu kwa wanafunzi wanaotumia vyombo hivyo kimeanza kuwakamata wale wote walio kaidi agizo hilo huku kikosi hicho kikiwaomba wananchi kuweka uangalizi…

Read More

Walichokisema Mbowe, Lissu mkutano mkuu Bazecha, hali ilivyo Bavicha

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amewataka wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Baraza la Wazee wa chama hicho (Bazecha) kumkataa “shetani” anayetaka kukifarakanisha chama hicho, huku akisema kukiangamiza chama hicho ni sawa na uhaini kwa kuwa kimebeba maono ya Watanzania wengi wanaokumbana na changamoto mbalimbali. Mbowe amesema hayo…

Read More

Enzi mpya ya shida kwa watoto, migogoro ya kimataifa inapozidi na ukosefu wa usawa unazidi kuwa mbaya – Masuala ya Ulimwenguni

Mwanzoni mwa kila mwaka, UNICEF inaonekana mbele kwa hatari ambazo watoto wanaweza kukabiliana nazo na kupendekeza njia za kupunguza madhara yanayoweza kutokea. Ya hivi punde ripoti, Matarajio ya Watoto 2025: Kujenga Mifumo Inayostahimili Maisha Ya Baadaye ya Watotoinadai kuimarishwa kwa mifumo ya kitaifa ambayo imeundwa ili kupunguza athari za migogoro kwa watoto na kuhakikisha wanapata…

Read More

Kesi ya wanaodaiwa kumuua mtoto wa mfanyabiashara Dodoma leo

Dodoma. Kesi ya mauaji ya mtoto Grayson Kanyenye (6) inayowakabili dereva bodaboda Kelvin Joshua na bondia Tumaini Msangi inatarajiwa kusomwa tena leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma. Watuhumiwa hao wawili wanakabiliwa na shtaka la kumuua kwa kukusudia mtoto huyo Desemba 25, 2024, eneo la Ilazo Extension, Jijini Dodoma. Washtakiwa hao walifikishwa mahakamani kwa mara…

Read More

Moto waendeleza majanga Marekani, vifo vyafika 24

Los Angeles. Moto wa nyika umeendelea kuwa mwiba kwa wakazi na maofisa wa Kikosi cha Zimamoto jijini Los Angeles, Marekani, baada ya vifo kuongezeka na kufikia watu 24. Zimamoto pia imetahadharisha kuwa huenda idadi ya waliofariki kutokana na moto huo ulioibuka Januari 9, 2025, ikaongezeka kwa kile kinachotajwa kuwa bado ufuatiliaji unaendelea ili kujua madhara…

Read More

MAPINDUZI YA ZANZIBAR: KUMBUKUMBU TUKUFU.

  Miaka sitini na moja, leo tunakumbuka, Mapinduzi matakatifu, yenye historia adhimu, Unguja na Pemba, visiwa vya thamani, Walinyanyuka wananchi, kwa sauti ya ukombozi.   Januari kumi na mbili, alfajiri ya matumaini, Wananchi kwa umoja, wakiwa na dhamira, Marungu na mapanga, wakavunja minyororo, Utawala wa Kisultani ukasahaulika milele.   Hayati Abeid Amani Karume, jina lako…

Read More