Gavana BoT ataja umuhimu wa elimu ya fedha shuleni

Dar es Salaam. Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, amesema tayari wameshaandaa miongozo itakayotoa elimu ya fedha kwa Watanzania itakayofundishwa kuanzia shuleni. Amesema hatua hiyo inalenga kumpa Mtanzania elimu ya kumwongoza kwenye matumizi ya fedha ili kuepuka utumiaji usiofaa unaosababisha umasikini. Tutuba ametoa kauli hiyo kwenye hafla ya kuorodheshwa kwa Hisa Stahiki…

Read More

Pamba yaleta beki la TP Mazembe

PAMBA Jiji ipo katika hatua za mwisho kumalizana na beki wa zamani TP Mazembe, Chongo Kabaso raia wa Zambia kuja kuimarisha safu yake ya ulinzi. Pamba ambayo imepanda Ligi Kuu msimu huu, ni kama haijaanza vizuri kwani iko nafasi mbaya katika msimamo wa ligi kwani inashika nafasi ya 14. Katika mechi 16 ilizocheza Pamba imefunga…

Read More

Mmoja mbaroni, moto ukiteketeza nyumba 10,000

Marekani. Idara ya Polisi ya Los Angeles (LAPD) imesema inamshikilia mtu mmoja anayedaiwa kusababisha moto mkali uliochoma nyumba zaidi ya 10,000 na kuua watu 10 nchini humo. Moto huo ulioanza usiku wa kuamkia Januari 9, 2025 umeteketeza nyumba za kifahari za mbele ya bahari. Ofisa mkuu wa LAPD, Charles Dinsel ameuambia mtandao wa NewsNation jana…

Read More

Wanolewa kuondokana na kilimo cha mazoea Zanzibar

Unguja. Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, imesema itaendelea kuunga mkono jitihada za washirika wa maendeleo kuwasaidia wakulima ili wapate tija. Mratibu wa Mradi wa Uhimilivu wa Mifumo ya Chakula, Sihaba Haji Vuai amesema hayo leo Januari 10, 2025 alipofungua mafunzo ya mabibi na mabwana shamba, maofisa kilimo na ushirika, Unguja. Amesema mafunzo hayo…

Read More

SMZ yajipanga kuwainua wakulima wa matango bahari

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira mazuri kwa wawekezaji wakubwa katika sekta ya uchumi wa buluu ili nao wawasaidie wafugaji wadogo wa matango bahari. Amesema Serikali imeweka mkazo katika sekta tatu  katika uchumi wa buluu ambazo ni uvuvi, ukulima wa mwani na ufugaji wa mazao ya baharini, ukiwamo wa…

Read More

Kifungo cha usajili chaiamsha Mtibwa

BAADA ya FIFA kuifungia Mtibwa Sugar kusajili kutokana na kutomlipa kipa Justin Ndikumana aliyekuwa akiidakia timu hiyo. msemaji wa klabu hiyo Thobias Kifaru, amesema watakaa na mwanasheria wajue wanafanya kitu gani. Kifaru alikiri kuwapo kwa adhabu hiyo, lakini hadi wakae na mwanasheria ndipo watajua kipi watakizungumza na vyombo vya habari. “Nikiri tumeona adhabu hiyo, ila…

Read More

 Wakulima Njombe walia uhaba mbegu za viazi mviringo

Njombe. Wakulima wa viazi mviringo mkoani hapa, wameiomba Serikali kuongeza wigo wa upatikanaji wa mbegu za zao hilo ili kukabiliana na uhaba wa mbegu hizo unaowafanya washindwe kuzalisha viazi kwa wingi. Wakulima wametoa ombi hilo leo Januari 10, 2025 mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka ambaye alitembelea shamba la mkulima mmoja wa…

Read More

Maslahi kuamua hatma ya Mgunda

IMEELEZWA endapo makubaliano ya kimaslahi yakienda sawa baina ya timu ya Mashujaa FC na AS Vita ya DR Congo basi dili la mshambuliaji Ismail Mgunda linaweza likatiki. Ipo hivi: Awali, Mwanaspoti liliripoti kuhusiana na Mgunda kufanya mazungumzo na AS Vita na baadaye akaonekana katika picha ya pamoja ya wachezaji wa timu hiyo, jambo ambalo uongozi…

Read More

Kelele na madhara yake kiafya  

Kelele zinaweza kuleta madhara ya kiafya au kuchokoza tatizo la kiafya la mgonjwa, ikiwamo wagonjwa wa shinikizo la juu la damu. Katika maisha ya kila siku ya wanadamu tunakumbana na kila aina ya kelele, ikiwamo honi za magari, ving’ora, milio ya mipasuko kama baruti na bunduki, mingurumo ya magari na mashine za viwandani. Vile vile…

Read More

Sanga atua kwa mkopo Prisons

KIUNGO mshambuliaji, Rabbin Sanga, amekamilisha uhamisho wa mkopo wa miezi sita kujiunga na  Tanzania Prisons akitokea Singida Black Stars, hatua iliyofanywa na mabosi wa maafande hao kama sehemu ya mkakati wa kuimarisha kikosi chao kilichouanza vibaya msimu huu. Tanzania Prisons ambayo ipo nafasi ya 13 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, imeshinda mechi tatu tu…

Read More