Kifungo cha usajili chaiamsha Mtibwa

BAADA ya FIFA kuifungia Mtibwa Sugar kusajili kutokana na kutomlipa kipa Justin Ndikumana aliyekuwa akiidakia timu hiyo. msemaji wa klabu hiyo Thobias Kifaru, amesema watakaa na mwanasheria wajue wanafanya kitu gani. Kifaru alikiri kuwapo kwa adhabu hiyo, lakini hadi wakae na mwanasheria ndipo watajua kipi watakizungumza na vyombo vya habari. “Nikiri tumeona adhabu hiyo, ila…

Read More

 Wakulima Njombe walia uhaba mbegu za viazi mviringo

Njombe. Wakulima wa viazi mviringo mkoani hapa, wameiomba Serikali kuongeza wigo wa upatikanaji wa mbegu za zao hilo ili kukabiliana na uhaba wa mbegu hizo unaowafanya washindwe kuzalisha viazi kwa wingi. Wakulima wametoa ombi hilo leo Januari 10, 2025 mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka ambaye alitembelea shamba la mkulima mmoja wa…

Read More

Maslahi kuamua hatma ya Mgunda

IMEELEZWA endapo makubaliano ya kimaslahi yakienda sawa baina ya timu ya Mashujaa FC na AS Vita ya DR Congo basi dili la mshambuliaji Ismail Mgunda linaweza likatiki. Ipo hivi: Awali, Mwanaspoti liliripoti kuhusiana na Mgunda kufanya mazungumzo na AS Vita na baadaye akaonekana katika picha ya pamoja ya wachezaji wa timu hiyo, jambo ambalo uongozi…

Read More

Kelele na madhara yake kiafya  

Kelele zinaweza kuleta madhara ya kiafya au kuchokoza tatizo la kiafya la mgonjwa, ikiwamo wagonjwa wa shinikizo la juu la damu. Katika maisha ya kila siku ya wanadamu tunakumbana na kila aina ya kelele, ikiwamo honi za magari, ving’ora, milio ya mipasuko kama baruti na bunduki, mingurumo ya magari na mashine za viwandani. Vile vile…

Read More

Sanga atua kwa mkopo Prisons

KIUNGO mshambuliaji, Rabbin Sanga, amekamilisha uhamisho wa mkopo wa miezi sita kujiunga na  Tanzania Prisons akitokea Singida Black Stars, hatua iliyofanywa na mabosi wa maafande hao kama sehemu ya mkakati wa kuimarisha kikosi chao kilichouanza vibaya msimu huu. Tanzania Prisons ambayo ipo nafasi ya 13 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, imeshinda mechi tatu tu…

Read More

TMA watoa hofu wakulima Nyanda za Juu Kusini

Mbeya. Licha ya kuwepo kwa upungufu wa mvua katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini Magharibi, Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imetoa tahadhari kwa wananchi waishio mabondeni kuhusu kuwepo kwa vipindi vifupi vya mvua kubwa. Tahadhari hiyo imetolewa leo Ijumaa Januari 10, 2025 na Meneja wa TMA Kanda, Elius Lipiki wakati akizungumza na Mwananchi…

Read More

Ustahimilivu wa Waukraine bado uko juu, kwani ramani za UN zinahitaji msaada na ujenzi mpya kwa 2025 – Masuala ya Ulimwenguni

Imepita takriban miaka mitatu tangu uvamizi kamili wa Urusi wa tarehe 24 Februari 2021, ambao umeua maelfu ya raia na kuharibu miundombinu muhimu, na kuweka uchumi chini ya mkazo mkubwa. Umoja wa Mataifa umerekodi zaidi ya vifo vya raia 28,000 na zaidi ya vifo 10,000, lakini inakubali kwamba idadi halisi inaweza kuwa kubwa zaidi. Wakati…

Read More