RAIS MSTAAFU DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE ATUNUKU TUZO YA CHAKULA BARANI AFRIKA
WANAWAKE wawili wanasayansi, Profesa Mary Abukutsa-Onyango kutoka Kenya na Mercy Diebiru-Ojo kutoka Nigeria wametangazwa kuwa washindi wa Tuzo ya Chakula Barani Afrika kwa mwaka 2025 (Africa Food Prize 2025). Tuzo hiyo yenye thamani ya Dola za Marekani 100,000, ilikabidhiwa rasmi na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye…