Yajue mambo hatari kwa afya ya ubongo

Dar es Salaam. Ubongo ni kati ya viungo muhimu katika mwili wa binadamu, ni chanzo kikuu cha kudhibiti mifumo yote ya mwili. Wataalamu wa afya wamekuwa wakisisitiza juu ya umuhimu wa kulinda afya ya ubongo ili viungo vingine katika mwili wa binadamu viweze kufanya kazi vizuri. Hata hivyo, kutokana na tabia pamoja na mambo mbalimbali…

Read More

Polisi Dar yathibitisha kumshikilia Dk Slaa

Dar es Salaam. Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema wanamshikilia aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chadema na balozi wa Tanzania nchini Sweden, Dk Wilbrod Slaa. Kamanda Muliro amethibitisha hayo leo Ijumaa Januari 10, 2024 kupitia kipindi cha Good Morning cha Wasafi. “Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye…

Read More

Shambulio la Zaporizhzhia linaashiria vifo vingi zaidi vya raia katika takriban miaka miwili – Masuala ya Ulimwenguni

Raia 13 waliuawa, na 110 kujeruhiwa, wakati mabomu mawili ya angani yalipopiga kituo cha viwanda katika mji wa kusini. Hii alama idadi kubwa zaidi ya majeruhi ambayo HRMMU imerekodi tangu jengo la makazi katika jiji la Dnipro lilipopigwa tarehe 14 Januari 2023, na mbaya zaidi tangu duka kuu la Kostiantynivka, mkoa wa Donetsk, lilipopigwa tarehe…

Read More

Zanzibar, Harambee patachimbika | Mwanaspoti

UHONDO wa michuano ya Kombe la Mapinduzi 2025 hatua ya makundi inahitimishwa usiku wa leo kwa mchezo utakaowakutanisha wenyeji, Zanzibar Heroes dhidi ya Harambee Stars ya Kenya, ili kuamua timu ya kucheza fainali. Jana usiku Burkina Faso iliyokuwa nafasi ya pili na pointi nne sawa na Kenya, ilikuwa ikimalizana na Kilimanjaro Stars ambayo inaburuza mkia…

Read More

Job atoa msimamo mzito Mauritania

KIKOSI cha Yanga tayari kimeshatua Mauritania tayari kwa ajili ya pambano la raundi ya tano la Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Kundi A dhidi ya Al Hilal ya Sudan, huku mmoja wa nyota wa timu hiyo akitoa msimamo dhidi ya wenyeji wao. Yanga inatarajiwa kushuka kwenye Uwanja wa Cheikha Ould Boidiya, jijini Nouakchott, Mauritiana kuwakabili…

Read More

Soka la Mzize lamshtua Mnigeria

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Clement Mzize ameendelea kuwa gumzo kwa mashabiki na wadau wa soka kutuokana na kiwango kizuri alichokionyesha hadi sasa katika mechi za mashindano zote za timu hiyo. Akiwa ndiye kinara wa mabao wa Yanga katika Ligi Kuu Bara akifunga mabao sita na kuasisti mara tatu, mbali na mabao matano aliyoyafunga kwenye michuano ya…

Read More

Baleke, Yanga ngoma nzito, ishu nzima iko hivi

YANGA imekuwa ikitajwa kutaka kumtema mshambiliaji Jean Baleke, lakini inaelezwa hadi sasa mambo bado magumu kutokana na kuwepo kwa vipengele vinavyoufanya mkataba baina yao usivunjike kirahisi. Awali, Yanga ilitaka kumpeleka Baleke kwa mkopo Namungo, lakini mchezaji anataka mkataba uvunjike alipwe chake na maisha mengine yaendelee, hivyo wanaendelea kujadiliana kuona jambo hilo wanalimaliza kwa uharaka. Mwanaspoti…

Read More

Simba yapewa Mbukinabe, Mnyarwanda Yanga

SIMBA na Yanga zipo ugenini kwa sasa zikijiandaa na mechi za raundi ya tano za michuano ya kimataifa inayopigwa wikiendi hii, huku Shirikisho la Soka Afrika (CAF) likitangaza waamuzi watakaozihukumu mbele ya wenyeji wao, Bravos ya Angola na Al Hilal ya Sudan. Simba inayoshika nafasi ya pili katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, itakuwa…

Read More