Stendi ya mabasi Kijichi kubadilishwa matumizi

Dar es Salaam. Stendi ya Kijichi iliyojengwa kwa ajili ya mabasi yaendayo mikoa ya Kusini sasa inatarajiwa kubadilishwa matumizi, baada ya malengo ya ujenzi kutotekelezeka. Mradi huo uliogharimu Sh3.9 bilioni kupitia Miradi ya Uendelezaji Jiji la Dar es Salaam (DMDP) ukijumuisha soko, maduka makubwa na stendi, umekimbiwa na wafanyabiashara. Mradi huo ulianza kazi Oktoba 17,…

Read More

Benchikha aitema JS Kabylie | Mwanaspoti

MUDA mchache baada ya JS Kabylie kufuzu hatua ya 16 Bora ya Kombe la FA la Algeria, kocha wa timu hiyo aliyewahi kuinoa Simba, Abdelhak Benchikha ameachia ngazi, ikielezwa ni presha kubwa aliyokutana nayo tangu ajiunge nayo msimu huu licha ya timu kuongoza msimamo wa Ligi Kuu ya nchi hiyo. Benchikha ameomba mwenyewe kuondoka klabuni…

Read More

Matokeo ya kidato cha pili, darasa la nne 2024 haya hapa

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne na kidato cha pili, takwimu zikionyesha kwa darasa la nne wasichana wamefaulu zaidi ikilinganishwa na wavulana. Kwa kidato cha pili wavulana ndio wameongoza. Matokeo yametangazwa leo Januari 4, 2025 na Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Dk…

Read More

Yao atangaza vita mapema | Mwanaspoti

WAKATI mashabiki wakianza kujiuliza mtaani na mtandaoni itakuwaje mara beki wa kulia ya Yanga, Yao Kouassi atakaporejea kutoka kwenye majeruhi kutokana na kiwango kilichoonyeshwa na Kibwana Shomary aliyewashika kwa sasa, lakini beki huyo kutoka Ivory Coast amevunja ukimya na kusema anaukubali uwezo wa mwenzake, huku akisititiza anaamini akipona atarejea katika eneo hilo kama kawaida. Yao…

Read More

Matokeo ya kidato cha pili na darasa la nne

  BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha pili na darasa la nne ambayo yatawawezesha wanafunzi kujiunga na kidato cha tatu na darasa la tano. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Kuangalia matokeo ya kidato cha pili ingia HAPA Kuangalia matokeo ya darasa la nne ingia HAPA About The Author…

Read More

Latra yatia mguu udhibiti wa ‘Special hire’

Dar es Salaam. Mwaka 2024 Tanzania ilikubwa na jinamizi la ajali za barabarani, Desemba ukiwa kinara. Ni kutokana na ajali hizo, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Ardhini (Latra) imekuja na mpango maalumu ukiwalenga wamiliki na madereva wa mabasi maalumu ya kukodi (Special hire) ambayo mengi ni Toyota Coaster. Hatua ya Latra inatokana na tathimini iliyofanya…

Read More

Ushindi waipa mzuka Zanzibar Heroes

BAO pekee lililowekwa kimiani na nahodha, Feisal Salum ‘Fei Toto’ limeiwezesha timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes kuanza vyema michuano ya Kombe la Mapinduzi 2025 kwa kuichapa Kilimanjaro Stars ya Tanzania Bara kwenye pambano la ufunguzi wa michuano hiyo lililopigwa Uwanja wa Gombani, kisiwani hapa. Pambano hilo la wanandugu, lilipigwa usiku wa jana na…

Read More

BALOZI WA JAPAN ASIFU UTENDAJI KAZI WA TRA

  Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Yasushi Misawa leo tarehe 03/01/2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda alipomtembelea ofisini kwake Jijini Dar es Salaam kwa lengo la kumuaga baada ya kumaliza muda wake. Katika mazungumzo yao  yaliyojikita kwenye masuala ya Kodi, Uwekezaji, kubadilishana…

Read More