MBEYA; WAFANYAKAZI WAWILI WA TANESCO WASHIKILIWA NA POLISI

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na maafisa wa shirika la umeme nchini [tanesco] linawashikilia watuhumiwa wawili Movin Joseph Mwaholi [53] Mfanyabiashara wa vifaa vya umeme na Rehema Jamson Silia [42] Mfanyabiashara wa chuma chakavu, mkazi wa nzovwe kwa tuhuma za kukutwa na miundombinu ya umeme na maji. Watuhumiwa walikamatwa Januari 02, 2025…

Read More

WANAHARAKATI WASEMA SHERIA MPYA YA ZAECA IWE MKOMBOZI WANAWAKE KUINGIA KWENYE UONGOZI

TUKIWA tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu 2025 Jitihada mbalimbali zinaendelea kuchukuliwa ambazo zinalenga wanawake kupata uongozi kwa kuzingatia usawa wa kijinsi na kuhakikisha 50 kwa 50 inafikiwa kwenye nafasi hizo. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka wazi haki za wanawake za kushiriki katika uongozi, ibara ya 21 inasisitiza kuwa kila raia wa Jamhuri ya…

Read More

Taifa Linalokaribia – Masuala ya Ulimwenguni

Kuporomoka kwa jengo la ghorofa ya juu jijini Dar es Salaam hivi karibuni na kusababisha vifo vya watu 16 na wengine zaidi ya 80 kujeruhiwa, kumeibua wasiwasi kuhusu kujiandaa na maafa katika jiji hilo. Credit: Kizito Makoye Shigela/IPS by Kizito Makoye (dar es salaam) Ijumaa, Januari 03, 2025 Inter Press Service DAR ES SALAAM, Jan…

Read More

Maxi, Chama na Yao kuikosa TP Mazembe kesho

Mastaa watatu wa Yanga, Maxi Nzengeli, Clatous Chama, Yao Kouassi ni miongoni mwa wachezaji wanne ambao wataukosa mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya TP Mazembe kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam mwingine akiwa ni Aziz Andabwile. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Yanga, imeeleza kuwa Chama anaendelea na matibabu ya…

Read More

Watoto watatu wafa maji kwenye lambo

Siha. Watoto tatu wa familia moja wamefariki dunia katika Kijijii cha Ngaratati, Kata ya Makiwaru wilayani Siha walipokuwa wakiogelea kwenye lambo lilijengwa na Serikali kwa ajili ya mifugo kupata maji. Diwani wa kata hiyo, Ezekiel Lukumai amewaeleza waandishi wa habari kuwa tukio hilo lilitokea Januari 2, 2025 watoto hao walipokwenda kufua nguo na kuoga. Amesema…

Read More

Sharifa, Glory Tausi warejesha fomu Bawacha

Dar es Salaam. Zikiwa zimesalia siku 13 kuelekea uchaguzi wa viongozi wa mabaraza ya Chadema, baadhi ya wagombea wameanza kurejesha fomu. Wagombea waliorudisha fomu ni Sharifa Suleiman anayewania uenyekiti wa Baraza la Wanawake Taifa (Bawacha) na Glory Tausi anayeomba kuwa naibu katibu mkuu wa Baraza hilo bara. Hatua ya wagombea hao kurejesha fomu, inatoa nafasi…

Read More