Kocha Singida Black Stars ataka ushindi, burudani

MMESIKIA huko? Kocha mpya wa Singida Black Stars, Hamdi Miloud mwenye uraia pacha wa Algeria na Ufaransa, ambaye amerithi mikoba ya Patrick Aussems, ameeleza kuwa na mpango wa kuifanya timu hiyo kuwa tishio Ligi Kuu Bara kulingana na ubora wa wachezaji alionao. Kocha huyo mwenye leseni ya UEFA A, anasisitiza kuwa lengo lake ni kuleta…

Read More

Usajili wazibeba JKT Queens, Simba

KOCHA Mkuu wa Alliance Girls, Sultan Juma amesema kwa sasa Simba Queens na JKT Queens hazina upinzani kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake kutokana na kufanya usajili bora na uwekezaji mkubwa. Ligi hiyo ambayo imemaliza mzunguko wa kwanza, mabingwa watetezi, Simba Queens wako kileleni na alama 25 wakishinda nane na sare moja…

Read More

Walioshtakiwa kwa tuhuma za mauaji ya msimamizi wa mirathi, mkewe waachiwa huru

Arusha. Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Geita, imewaachia huru watu 10 wakiwamo wa familia moja waliokuwa wakishtakiwa kwa kesi ya mauaji ya wanandoa. Mauaji hayo yanadaiwa kusababishwa na mgogoro wa muda mrefu wa mirathi kuhusu shamba la familia la ekari 400. Waliokuwa wakishtakiwa ni Ernests Nyororo, Zanzibar Madegeleki, Lucas Madegeleki, Lushingi Madegeleki, Kesi Madegeleki, Simon…

Read More

WANAWAKE WATAWALA PROMOSHENI YA SANTA MIZAWADI KUTOKA AIRTEL

Meneja Mauzo kwa wafanyabiasha wadogo wakati na wakubwa wa Airtel Money, Janeth Kwilasa akizungumza na Waandishi wa habari kuhusiana na wakati wa promosheni ya Santa Mizawadi iliyechezeshwa leo Januari 07, 2025 jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja Ubunifu kutoka Airtel, Husein Simba. Na Kulia ni Muwakilishi kutoka Bodi ya Michezo ya kubahatisha, Elibariki Sengsenga….

Read More

Kocha Zanzibar Heroes alia na ushambuliaji

KITENDO cha kufungwa bao 1-0 dhidi ya Burkina Faso, kimeonekana kumkera Kocha wa Zanzibar Heroes, Ali Bakar Ngazija. Zanzibar Heroes imepokea kipigo hicho juzi katika mchezo wao wa pili wa michuano ya Kombe la Mapinduzi 2025 inayofanyika Uwanja wa Gombani, Pemba. Katika mchezo huo, bao la Burkina Faso lilifungwa na mshambuliaji Abubar Toure dakika ya…

Read More

Mrithi wa Kinana kujulikana Januari 19 Dodoma

Dodoma. Mrithi wa Abdulrahman Kinana ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika nafasi ya Makamu Mwenyeiti-Bara atajulikana kati ya Januari 18-19, 2025 kwenye mkutano mkuu maalumu utakaofanyika jijini Dodoma. Nafasi hiyo ya Makamu Mwenyekiti imekuwa wazi tangu Julai 28, 2024 baada ya Kinana kuandika barua ya kuomba kujiuzulu wadhifa huo kwenda kwa Mwenyekiti wake, Rais Samia…

Read More