Kibarua kocha mpya Singida BS kipo hapa

KOCHA mpya wa Singida Black Stars, Hamdi Miloud amekiri kibarua alichonacho baada ya kukabidhiwa mikoba ya kuinoa timu hiyo sio rahisi, licha ya kufurahia kukutana na wachezaji wenye ubora na uwezo mkubwa ambao anaendelea kuwasoma kabla ya kuanza mambo katika Ligi Kuu baadae Machi, mwaka huu. Licha ya kuwa na uzoefu  na mafanikio katika soka…

Read More

Ditram Nchimbi apewa miezi sita Mbeya City

MSHAMBULIAJI nyota wa zamani wa Majimaji, Yanga, Polisi Tanzania na Taifa Stars, Ditram Nchimbi amejiunga na Mbeya Kwanza inayoshiriki Ligi ya Championship kwa mkataba wa miezi sita hadi mwisho wa msimu huu. Nchimbi amejiunga na Mbeya Kwanza baada ya kuikacha Biashara United kutokana na timu hiyo kukabiliwa na ukata. Mbeya Kwanza katika Championship msimu huu…

Read More

Watanzania ,Wazanzibari na Waumini wa Dini ya Kiislamu watakiwa kuendelea kudumisha amani,

Watanzania ,Wazanzibari na Waumini wa Dini ya Kiislamu wametakiwa kuendelea kuidumisha amani, utulivu na mshikamano uliopo nchini ili kuweza kuisaidia serikali kuweza kupiga hatua kimaendeleo. Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla wakati akiwasalimia waumini wa Masjid RIDHAA uliopo MADUNGU WILAYA YA CHAKE CHAKE mara baada ya kumaliza…

Read More

Makonga, Kelvin waipa nguvu Mbeya City

KOCHA wa Mbeya City, Salum Mayanga amesema hadi sasa timu hiyo ya jijini Mbeya iko katika mwelekeo mzuri, hasa baada ya kuwanasa aliyekuwa kipa wa Biashara United, Diey Makonga na mshambuliaji Mtanzania, Kelvin George aliyetokea AS du Port ya Djibouti. Akizungumza na Mwanaspoti, Mayanga alisema licha ya kikosi hicho kushika nafasi ya pili na pointi…

Read More

Kigi Makasi achimba mkwara Championship

KIGI Makasi, nyota wa zamani wa Simba, Yanga na Mtibwa Sugar aliyetua Stand United ‘Chama la Wana’ amesema wachezaji na benchi la ufundi la timu hiyo wamekula kiapo cha kushinda mechi za nyumbani, huku akiichimba mkwara Geita Gold watakayoivaa katika mchezo wa kufungia duru la kwanza la Ligi ya Championship. Makasi alijiunga na Chama la…

Read More

Mwaka mpya, mikakati mipya kudhibiti kisukari

Katika kuadhimisha mwaka mpya, tunapata nafasi ya kutafakari na kufanya mabadiliko chanya katika maisha yetu. Wengi hutumia kipindi hiki kupanga malengo na mikakati mipya na ni muhimu kukumbuka kuwa miongoni mwa mikakati hiyo ni kudhibiti viwango vya sukari. Ulaji wa sukari kupita kiasi ni moja ya changamoto kubwa za kiafya zinazoongezeka duniani na kuleta madhara…

Read More

Ulega amweka kitimoto mkandarasi wa barabara Pangani

Tanga. Mkandarasi anayetekeleza sehemu ya tatu ya barabara ya Tungamaa – Mkwaja – Mkange, Pangani, Tanga yenye urefu wa kilomita 95.2, amejikuta katika wakati mgumu mbele ya Waziri wa Ujenzi, Abdalla Ulega alipomtaka aeleze sababu za kusuasua kwa ujenzi huo. Hata hivyo, katika utetezi wake kwenye utekelezaji wa mradi wenye thamani ya Sh111.55 bilioni, mkandarasi…

Read More

IAA yajipanga kuwa uwanja wa kutumika Afcon 2027

*Prof Sedoyeka aweka mikakati ya kuibua vipaji vya wanafunzi Na Chalila Kibuda Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) kimeweka mikakati ya kuendeleza michezo nchini kwa kuwa uwanja wa kisasa katika Kampas ya Babati. Hayo aliyasema Mkuu wa Chuo hicho Profesa Eliamani Sedoyeka wakati akizungumza waandishi wa Habari katika Kampas Mpya ya Chuo hicho Babati mkoani Manyara….

Read More