
DKT. NCHEMBA AFUNGUA KIKAO KAZI TRA JIJINI ARUSHA
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (kushoto), Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega (kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Makonda, wakiteta jambo baada ya mawaziri hao kumtembelea Ofisini kwake jijini Arusha, wakati walipofanya ziara ya kikazi mkoani humo, ambapo pia walipata fursa ya kushiriki mkutano maalum wa Kamati…