Polisi yawafungia leseni madereva 30 kwa ulevi Dar

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewafungia leseni madereva 30 kati ya 179 waliokamatwa katika kipindi cha sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya 2025. Madereva hao 30 walikamatwa katika operesheni maalumu na walipopimwa walikutwa na ulevi kwa kiwago cha zaidi ya miligramu 80. Hayo yamesemwa na Kamanda wa Kanda…

Read More

Ndunguru: Gusa achia, itaiua Mazembe mapema tu!

KIKOSI cha Yanga kesho kitapiga tizi la mwisho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, kabla ya keshokutwa kurejea kambini Avic Town kujiandaa na pambano la Kundi A la Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya TP Mazembe ya DR Congo, huku kiungo wa zamani wa timu hiyo ya Jangwani akiitabiria ushindi wa mapema nyumbani. Raymond Nduguru aliyewahi kuichezea…

Read More

Kibarua cha Josiah Tanzania Prisons

PAMOJA na heshima aliyopata kutoka Championship hadi Ligi Kuu, kocha mpya wa Tanzania Prisons, Aman Josiah anakabiliwa na mtihani mzito kutoboa. Josiah anatarajia kuinoa Prisons baada ya mtangulizi wake, Mbwana Makata kufungashiwa virago kutokana na matokeo yasiyoridhisha katika Ligi Kuu. Katika michezo 15 aliyoiongoza Makata, Prisons imeshinda miwili, sare tano na kupoteza saba na kuiacha…

Read More

Mbappe wa Azam apelekwa KMC

UONGOZI wa KMC uko katika mazungumzo ya kuipata saini ya winga wa Azam FC, Cheickna Diakite ‘Mbappe’ kwa mkopo wa miezi sita, baada ya nyota huyo kuomba kutolewa kwenda timu nyingine ili akapate nafasi zaidi ya kucheza katika kikosi cha kwanza. Taarifa kutoka ndani ya Azam zililiambia Mwanaspoti, Diakite aliyejiunga na timu hiyo mwanzoni mwa…

Read More

Danadana zagubika ununuzi mabasi ya mwendo kasi

Dar es Salaam. Danadana zimegubika ununuzi wa mabasi katika Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (BRT) chini ya Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) katika awamu ya kwanza na ya pili. Rais Samia Suluhu Hassan, alipotoa salamu za Mwaka Mpya kwa Watanzania Desemba 31, 2024 alisema katika mwaka 2025 miongoni mwa miradi itakayotekelezwa kwa uwekezaji kwa…

Read More

Haya hapa maajabu ya Nottingham Forest

  Timu ya Nottingham Forest nchini Uingereza imeendelea kufanya vyema kabisa msimu huu chini ya kocha mkuu Nuno Espirito Santo kwa kufanya historia mpya kwa kushika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa EPL, jambo ambalo halikufikirika kwa wengi mwanzoni mwa msimu. Ufanisi huu umeletwa na mkakati wa kipekee wa kocha Nuno Espirito Santo, ambaye ameonyesha…

Read More

KMC yamng’oa Chikola Tabora United

BAADA ya kiungo mshambuliaji wa KMC, Ibrahim Elias ‘Mao’ kutoonekana kikosini uongozi wa timu hiyo umemalizana na Offen Chikola kwa ajili ya kuongeza nguvu kikosini humo. Elias tangu alipoonyeshwa kadi nyekundu kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Fountain Gate ugenini huku timu yake ikikubali kichapo cha mabao 2-0 hajaonekana kikosini. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani…

Read More

Waliofariki kwa kugongwa gari Marekani wafikia 15

Marekani. Idadi ya vifo vilivyotoka na kugongwa na gari aina ya Pickup eneo la Bourbon, New Orleans nchini Marekani imefikia 15 baada ya majeruhi watano kati ya 35 kufariki usiku wa kuamkia leo. Ajali hiyo ilitokea siku ya mkesha wa mwaka mpya 2025, uliohudhuriwa na mamia ya watu katika eneo, hilo huku dereva wa gari…

Read More

Dabo amvuta Bangala AS Vita

SIKU kadhaa tangu amalizane na Azam FC iliyoamua kusitisha mkataba aliokuwa nao, kiungo anayemudu kucheza pia kama beki wa kati, Yannick Bangala amejiunga na AS Vita ya DR Congo inayonolewa na kocha Youssouf Dabo aliyewahi kufanya naye kazi kikosi cha Matajiri wa Chamazi. Bangala aliyewahi kukukipiga Yanga kabla ya kujiunga na Azam misimu miwili iliyopita,…

Read More